Wanaume wanaojituma wanapungua, nini kifanyike?

Wanaume wanaojituma wanapungua, nini kifanyike?

Nadhani hili lianzie nyumbani kina mama ndiye walezi wakuu wa watoto...

Tuwafunze ingali wakiwa wadogo.


Nakusalimu Donatila.
Nimeitika Daby...hapa kwenye kuwafunza kweli kabisa...ila tatizo mama na baba wote wapo bizee...watafunzwa na nani?
 
Haha .... ila dada yangu Kuna watu ame-walenga kweli ..Kuna hilo tatizo katika jamii yetu ..Kuna baadhi ya vijana wengi (sio wote ) Ambao wanapenda maisha ya mteremko ...hawataki kujishughulisha kabisa yaani vile inavyostahiki. ....... wame ridhika kwa kiasi kikubwa mno...

Waweza kukuta kijana anazaa/anazalisha wakati bado hajajiandaa vyema kubeba majukumu kisha watoto wake anakwenda kuwabwaga kwa bibi/babu zao ..... Tujitahidi kuupokea ukweli wa mtoa mada ijapo kuwa ni mchungu kiasi chake
Watu tunafanya Trading. Sasa anataka tufanye huku tumebeba desktop kichwani
 
Hahaha kwamba hata kumkwea huyo sugar mama ni kazi ngumu pia ..au sio ..dahh ???!!
zeshchriss kwani mario wameanza leo?

Hii dunia ni ya kibepari. Kila mtu anafanya anachoweza. Sasa kama Nimepata Suger mom kanipenda na ana pesa nikatae?

Anyway, kazi watu wanafanya. Huko kujituma anakotaka mtoa mada sijui ni kupi. Hakuna mtu hajitumi sehemu ambako hakuna pesa
 
Sasa mkuu ulishaambiwa Sasa hivi nizama za sayansi natekonolojia, siku hizi tunashauriwa tufanye mazoezi ila zamani kazi zawazee wetu ilikuwa zaidi yahaya mazoezi
 
Hili Dongo nadhani ni la mtu
Haha .... ila dada yangu Kuna watu ame-walenga kweli ..Kuna hilo tatizo katika jamii yetu ..Kuna baadhi ya vijana wengi (sio wote ) Ambao wanapenda maisha ya mteremko ...hawataki kujishughulisha kabisa yaani vile inavyostahiki. ....... wame ridhika kwa kiasi kikubwa mno...

Waweza kukuta kijana anazaa/anazalisha wakati bado hajajiandaa vyema kubeba majukumu kisha watoto wake anakwenda kuwabwaga kwa bibi/babu zao ..... Tujitahidi kuupokea ukweli wa mtoa mada ijapo kuwa ni mchungu kiasi chake
 
Hv hao wanaume wanaodanga mi mbona sikutani nao

Isije kuwa mnamuona kijana mmoja hapo mtaani kwenu basi unachukulia vijana kibao wako hivyo

Bado naamin wanaume tunapiga mzgo na tunatafuta hela haswa
 
Kweli kanisa siku hizi vijana wamebaki wachache Sana ambao wanajituma wengi wao ni kupenda starehe
 
Hv hao wanaume wanaodanga mi mbona sikutani nao

Isije kuwa mnamuona kijana mmoja hapo mtaani kwenu basi unachukulia vijana kibao wako hivyo

Bado naamin wanaume tunapiga mzgo na tunatafuta hela haswa
Huwezi kukutana nao...maana wanadanga kwa wanawake ha ha haaa...na kwa baadhi yenu mnaowageuza mchicha mwiba
 
Hao wasiojituma tutawatuma uzeeni kwa kulinda mashamba, kuogesha mbwa nk
Habari wakuu,

Twende kwenye mada...

Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Ni kwamba nimekuwa nikiangalia namna ambavyo vijana wa kiume wa sasa na nimekuwa nikijiuliza maswali mengi...

Utakuta vijana wa kiume hawajitumi katika kufanya kazi kwa bidii ili wajiingizie vipato na badala yake wamekuwa wakijiingiza katika maisha ya ajabu kama kudanga kwa majimama ili wawezeshwe kimaisha.

Wengine wao wanajigeuza kuwa mashoga ili tu wajirahisishe wapate pesa kirahisi.

Yani sikuhizi vijana wa kiume wanafanya mambo ya aibu ili wapate pesa.

Wamesahau kuwa maandiko yanasema "mwanaume atakula kwa jasho".

Ni aibu maana mtoto wa kiume kushindwa kusaka pesa na kusubiri kuletewa na mwanammke.

Nawaza tu miaka ijayo tutakuwa na wanaume wa shoka kweli..

Ni hayo tu...

Karibuni...
 
Habari wakuu,

Twende kwenye mada...

Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Ni kwamba nimekuwa nikiangalia namna ambavyo vijana wa kiume wa sasa na nimekuwa nikijiuliza maswali mengi...

Utakuta vijana wa kiume hawajitumi katika kufanya kazi kwa bidii ili wajiingizie vipato na badala yake wamekuwa wakijiingiza katika maisha ya ajabu kama kudanga kwa majimama ili wawezeshwe kimaisha.

Wengine wao wanajigeuza kuwa mashoga ili tu wajirahisishe wapate pesa kirahisi.

Yani sikuhizi vijana wa kiume wanafanya mambo ya aibu ili wapate pesa.

Wamesahau kuwa maandiko yanasema "mwanaume atakula kwa jasho".

Ni aibu maana mtoto wa kiume kushindwa kusaka pesa na kusubiri kuletewa na mwanammke.

Nawaza tu miaka ijayo tutakuwa na wanaume wa shoka kweli..

Ni hayo tu...

Karibuni...
Sasa hivi badala ya kufanya kazi wana kazi ya kuliwaza wajane.
 
Tatizo la mada hii, hitimisho lake limejikita kwa wanaume hewa wa mkoa mmoja.

Ebu tafuta nauli , uzunguke angalau mikoa kama 10 hivi. Ndipo uje na hitimisho hilo.
 
Hao wasiojituma tutawatuma uzeeni kwa kulinda mashamba, kuogesha mbwa nk
Mwishowe wageuzwe wanawake na wanawake wawe wanaume...kama ambavyo wanavyofungiwa ndani na mijimama inafua mpaka bikini mxiuuu!
 
Back
Top Bottom