Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,420
- 40,405
Kwa ulimwengu wa sasa huu ndio ukweli, kutokana na tamaa na mahitaji ya anasa kuongezeka kote duniani; wanawake/warembo wengi hupenda kutumia njia ya mteremko, hasa pale wanapopata mtu wa kuwahonga. Ndio maana kwa hali ya sasa mtu anapendewa pesa au mamlaka aliyonayo yanayowezesha kumrahisishia maisha mrembo husika.
Warembo hao huwatumia wanaume hao kujipatia mali mbalimbali kama; majengo, magari, vyeo n.k Na pale pesa au mamlaka yanapoisha warembo/wanawake hao uachana na huyo mwanaume na kuangalia fursa kwa mwingine mwenye uwezo na nafasi. Na hii inatumika hasa kwa wanawake wa mijini.
Hii imekuwa ni mitaji au mafanikio kwa warembo wengi wa mijini. Kwa wale wanaume wasiokuwa na uwezo wa kuhonga ndio uangukia kwa wapenzi wenye muonekano wa bulicheka n.k
Warembo hao huwatumia wanaume hao kujipatia mali mbalimbali kama; majengo, magari, vyeo n.k Na pale pesa au mamlaka yanapoisha warembo/wanawake hao uachana na huyo mwanaume na kuangalia fursa kwa mwingine mwenye uwezo na nafasi. Na hii inatumika hasa kwa wanawake wa mijini.
Hii imekuwa ni mitaji au mafanikio kwa warembo wengi wa mijini. Kwa wale wanaume wasiokuwa na uwezo wa kuhonga ndio uangukia kwa wapenzi wenye muonekano wa bulicheka n.k