chuganian
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 1,067
- 1,109
haya kila la heri katika kutafutaSina wife baby,ningekuwa nae usingeniona humu,natamani nami nipate wife hivi karibuni,ndio maana unaniona najaribu bahati humu,ingawa wengi wanafikiri kupata mrembo wa maisha humu haimwezekani,hapana sio kweli coz humu kuna wanawake wengi waliopitia maisha na wanajua maisha ni nini?pia wako huru kama mimi nitajiongeza na kuwaheshimu,basi tunaweza kuwa mwili mmoja mpaka kifo kitutenganishe baby au vipi?