Alafu Acha dharau..unaonekana una dharau sana wewe!! Ndo maana umepigwa mashine na ukaachwa...!! huyo boy wako kumpata huyo demu inaonekana demu mtamu na anajua mambo kukuzidi...Uzur hausaidii sanaWanaume sijui wako vipi mtu umeachwa basi utafute girl mzuri kumshinda x wako hata akimuona aanze kukuonea wivu. Kama huyu kaka mpaka anatia huruma nimemuacha miezi mitatu bado amepata girlfriend mpya, kajitu chenyewe kabaya hata hakistui sijui ame muokotea wapi masikini ya Mungu ππ halafu kuna watu wengine sijui wakoje wanajua mmeachana bado anaku whatsapp umemuona x wako na girlfriend wake mpya? Eeeee sasa mimi nifanya je nikimuona ππ kajitu kenyewe hata robo hakini fikiii π halafu nimemuacha mwenyewe angeniacha yeye kweli ningeumia π
Bora umemwambia ukweliInaonekana wewe ndio unateseka maana hadi umemjua gf wake mpya ukamchunguza ukaona ni mbaya, uzuri wa mtu uko machoni mwa anayemtazama. Just move on girl
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ndyo wivu tunaosema... Umeacha/ umeachwa move on achana naye kabisa x... Fanya mambo yako ..onyesha ushirikiano panapobidi kwasababu nyinyi siyo maaduiSijui upande wa kiumeni labda ww umeongelea kwa upande wenu ila sisi ke tunataka kuthaminisha, kanizidi! hata ukusikia bwana wa rafiki wameachana ana demu mwingne maeneo ambayo ww upo lazima utataka kumjua ulinganishe
Sent using Jamii Forums mobile app
Haahhahahahaah naona analialia hapa eti ye mzuri kuliko Mimi thubutu hivi mzuri anajijua mwenyewe???? Hiiiiii unaweza kuwa mzuri chini hakufit sasa weeeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Shule zimefungwa...Wewe mimi siumii cuz mimi ndio nimemuacha halafu baada ya kumuacha kani block kote kote. Sasa hapa anaeumia nani kama sio yeye. Girl wake mpya sijamchunguza nimetumiwa picha na mtu tu
usieseme "kajitu' huyo demu unaweza shangaa ndo mpaka ndoa....sasa wewe endelea kujiona mzuri huku ukichelewa.Mimi naumia vipi wakati nimetulia zangu naendelea na maisha yangu. Yeye ndio anaeumia ujue kwenye relationship mkiachana yule anaejifanya ku move on haraka ndio aliyeumia sana. Masikini katafuta kajitu kabaya ili kuonyesha watu ame move on haha huku moyoni anauamia
Karibu PM tuyajenge najua upo single sahizi..Tunaweza weka mambo sawa na ukamsahau jamaa!! nayeye tumlingishie aumie...Au unasemaje mamii..? nipo seriousKumloga? Kumloga mwanaume asiyejitambua ili iwe nini?
Kwani kakutangazia au unajistukia tuWanaume sijui wako vipi mtu umeachwa basi utafute girl mzuri kumshinda x wako hata akimuona aanze kukuonea wivu. Kama huyu kaka mpaka anatia huruma nimemuacha miezi mitatu bado amepata girlfriend mpya, kajitu chenyewe kabaya hata hakistui sijui ame muokotea wapi masikini ya Munguhalafu kuna watu wengine sijui wakoje wanajua mmeachana bado anaku whatsapp umemuona x wako na girlfriend wake mpya? Eeeee sasa mimi nifanya je nikimuonakajitu kenyewe hata robo hakini fikiiihalafu nimemuacha mwenyewe angeniacha yeye kweli ningeumia
Kwan kakwambia nani kama we mzur? mbna wanasema unanuka papaInaonekana wewe ndio unateseka maana hadi umemjua gf wake mpya ukamchunguza ukaona ni mbaya, uzuri wa mtu uko machoni mwa anayemtazama. Just move on girl
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mkuu.kwa age yangu hakuna kupotezeana muda na weza sema ni experience halafu we were madly in love sasa unaanzaje kusema kupoteza muda hata kama mapenzi yameisha siwezi kusema ni kupoteza muda hata kama tumeachana kuna vitu nme learn kwa hii relationship
nikamwambia dada yangu huyo anaesema kajitu unaweza kuta huu mwaka hauishi tukaanza kupokea kadi za harusi sijui na sendoff..akati yeye kakaa nae kwa maelezo yake 3 yrs..hakuna kitu kitamuuma kama hicho..kabla hatujafika christmass ndoa itatangazwa na they will live a happy life there afterπ..!! wanaume ndo tulivo ukimwaga mboga namwaga ugali wote...alafu naenda kula pilau kwa mwingineHamna kitu kinauma kama unajijua ww mzuri alafu hujaolewa alafu Yule unayeona mbaya bwana ako ndiyo kamuowa na ndo a kubwa hatari unabaki kucheka uku roho inakuuma
Sent using Jamii Forums mobile app
WEWE inaonekana umeanza kuchanganyikiwa! ulijua mchizi atajinyonga au? na inaonekana kavuta chuma so umabaki unateseka....wanaume hatubabaishwi na papuchi wewekajitu kenyewe hata robo hakini fikiii π halafu nimemuacha mwenyewe angeniacha yeye kweli ningeumia π
Uzuri wa ndani wa huyo dada unayesema mbaya unaujua? Sebule yako na yake ipi safi? Je, cushion yake na yako ipi bomba? je, anavyotoa support kwenye game ni sawa na wewe?Wanaume sijui wako vipi mtu umeachwa basi utafute girl mzuri kumshinda x wako hata akimuona aanze kukuonea wivu. Kama huyu kaka mpaka anatia huruma nimemuacha miezi mitatu bado amepata girlfriend mpya, kajitu chenyewe kabaya hata hakistui sijui ame muokotea wapi masikini ya Mungu ππ halafu kuna watu wengine sijui wakoje wanajua mmeachana bado anaku whatsapp umemuona x wako na girlfriend wake mpya? Eeeee sasa mimi nifanya je nikimuona ππ kajitu kenyewe hata robo hakini fikiii π halafu nimemuacha mwenyewe angeniacha yeye kweli ningeumia π