Triple G
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 2,447
- 3,016
Alafu Acha dharau..unaonekana una dharau sana wewe!! Ndo maana umepigwa mashine na ukaachwa...!! huyo boy wako kumpata huyo demu inaonekana demu mtamu na anajua mambo kukuzidi...Uzur hausaidii sanaWanaume sijui wako vipi mtu umeachwa basi utafute girl mzuri kumshinda x wako hata akimuona aanze kukuonea wivu. Kama huyu kaka mpaka anatia huruma nimemuacha miezi mitatu bado amepata girlfriend mpya, kajitu chenyewe kabaya hata hakistui sijui ame muokotea wapi masikini ya Mungu 😂😂 halafu kuna watu wengine sijui wakoje wanajua mmeachana bado anaku whatsapp umemuona x wako na girlfriend wake mpya? Eeeee sasa mimi nifanya je nikimuona 😂😂 kajitu kenyewe hata robo hakini fikiii 😅 halafu nimemuacha mwenyewe angeniacha yeye kweli ningeumia 😉