smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,977
- 3,066
Daa! mkuu nakukubali sana kwa falsafa hii! na kweli ndo tulivyo! hapo sijui umefikiria nini! any way washauri vijanaUsifanye mchezo na mtu ambaye ana bidhaa, akishakuuzia hiyo bidhaa, anarudi nayo kwake