Wanaume waleo vs wanaume wa zamani

Wanaume waleo vs wanaume wa zamani

Kwa jinsi ulivyoandika hii comment pamoja na comments zako hapa jamvini wewe ni aina ya wanawake wa kisasa ambao umejielezea hapo kwenye bolded items.
Umeamua kusema hivyoo because ulishakanyaga mto wenye mamba wakakukulq huna lolote
 

Attachments

  • images (38).jpeg
    images (38).jpeg
    51.4 KB · Views: 21
Hamjui hata kuomba hela kiakili mnaforce mlisaidia kumpatia
 
Penzi sio biashara ya matunzo Bali ni asili!

Toeni penzi Kwa mahitaji ya asili mlivyoumbwa na sio kigezo Cha kuhudumiwa!Ni aibunkuzaa mtoto anaewaza amekuja duniani Ili atoe penzi apate huduma yaani kufanya ukahaba baridi!!kama huwezi kujihudumia mwenyewe kama mwanamke Kwa kufanya kazi wewe ni mlemavu na ulipaswa kunyimwa viungo Ili uhudumiwe vizuri!

Badilikeni coz bibi zetu walilima mashamba,wakabeba mikungu ya ndizi Hadi sokoni wakanunua vya muhimu familia ikafurahi!!
Umenena vyema
 
WAnaume wakileo.
Mnaanza mahusiano anaanza kusema unafanya nini ??
Mko kwenye maongezi kidogo eti una teni hapo sasa kama mie mwanamke unataka hela yangu yanini kwasababu gani??
Dunia ilipoanza adam aliambiwa atatafuta kwa uchungu. Na hawa atazaa kwa uchungu na vitu vyote hadi kulea mwanaume ndio anahusika .

Sasa yamekuwa hayooo leo wanaume wanapigania kutunzwa imebaki wazae tu . Ndio imebaki.

Sasa wanaume wazamani wanaheshima wanakujali wanakupenda nakukupa muda wake.

Ila waleo ahaaa khali wamezidi wanataka haki sawa ipi???
Wewe ndiyo tatizo yawezekana mwanamme akikuangalia anamuona mama yake kwako kwa hiyo lzm uprivide tu hamna namna

Kama mwanamme akikuangalia anakuona mke lzm akupe staha ya mke

Na kama akikuangalia anaona wewe ni malaya, atakupe atensheni ya malaya
 
Wewe ndiyo tatizo yawezekana mwanamme akikuangalia anamuona mama yake kwako kwa hiyo lzm uprivide tu hamna namna

Kama mwanamme akikuangalia anakuona mke lzm akupe staha ya mke

Na kama akikuangalia anaona wewe ni malaya, atakupe atensheni ya malaya
Wewe ninani naunahusikaje na maisha yangu mimi sikujui na hunijui hizi nizile post zangu za ujinga ujinga za humu . Humu hakunaga wanaume humu kuna maajabu ya Mungu na uumbaji wake
 
Wewe ninani naunahusikaje na maisha yangu mimi sikujui na hunijui hizi nizile post zangu za ujinga ujinga za humu . Humu hakunaga wanaume humu kuna maajabu ya Mungu na uumbaji wake
Wewe hebu kalete hako ka pochi yoyooo uone kama hakuna wanaume 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Sasa wewe kama ni malaya naichapa tu na kusepa hiyo role yako ya kunizalia kwa uchungu utaifanya lini, hii kauli acha waongee na waikomalie walioolewa, nyie wa barabarani tulieni
 
Back
Top Bottom