Wanaume waleo vs wanaume wa zamani

Wanaume waleo vs wanaume wa zamani

Sasa wewe kama ni malaya naichapa tu na kusepa hiyo role yako ya kunizalia kwa uchungu utaifanya lini, hii kauli acha waongee na waikomalie walioolewa, nyie wa barabarani tulieni
Malaya ni huyo mama yako aliyekuzaa na mkeo wako uliyenaye nyumbani
 
Nihonge nanunua Nini, ni kipi nisichokijua Ina tv ndani?🙄 He kumbe naimba 😂😂
Wengi ya baadhi ya wanawake mmejishusha wenyewe thamani yenu,
Kutoka kung'ata kucha mkitongozwa hadi kufikia hatua ya kuingiza chupa ukeni shem on you! (Zingatia neno baadhi)

Ukitaka utunzwe na kuheshimiwa na mwanaume, jitunze na kujivalue wewe mwenyewe kwanza!
 
Ukiona nyuzi kama hii, jua Mtu kashaumizwa huko[emoji1][emoji1][emoji1]
Kweli [emoji23][emoji23][emoji23]
ochumaudaku-20250716-0001.jpg
 
Back
Top Bottom