Nasemaje hili mwanamke ugharamikiwe lazima mambo mawili yatokee...
1.uwe na mwanaume anayekupenda .
2. usiwe Malaya.
Note:Wanawake wengi mmekuwa mnagawa sana uchi kiasi kwamba kumuhudumia mwanamke imekuwa kama ujinga hivi au old fashion flani hivi.
Ukipata mwanaume anakupenda na wewe ukajichunguza kabisa huna chembe za umalaya na Mwanaume uliye nae akaona kbs huna chembe za umalaya Basi kukuhudumia mwanamke ni raha Sana..
Jitathimini mwanamke Ana thamani Sana, je wewe una thamani?je sio Malaya?Je huna chembe chembe za umalaya ambazo mwanaume anaweza kunusa na akahisi Huna thamani?
Sent using
Jamii Forums mobile app