wanaume wa type hii huwa wananikosha.

wanaume wa type hii huwa wananikosha.

"...We wakubalie alaf
wazungushe kidogo ili
uwapime kama kweli wapo tayari au wanataka
kuchakachua?...
"

Kuna kitu wasichana and/or wanawake (na hata baadhi ya wanaume) hamkijui! Kwa lugha nyepesi mmekariri!

Sisi wanadamu tunatofautiana sana kwenye kurespond vitu!

Kuna watu ukiwasumbua na kuwapelekesha and if wamependa kweli ndio watakaoingia kwenye hiko kipimo chako! But this is not conclusive!
Kuna matapeli wanaweza kupasi kwenye hiko kipimo! = utamsumbua, atasumbuka but mwisho wa siku akikuvua pichu mchezo unaishia hapo!

Also kuna w/me hawapendi usumbufu (includes me) hata wakupende vipi ukijaribu tu kuleta za usumbufu ana conclude wewe sio wife material as a result anachanganya soli mapema sana!

Embu w/ke tambueni hilo!
Njia za kumpima m/me whether anamapenzi ya kweli or not ziko nyingi na zitategemea na m/me mwenyewe!

Kumsoma mtu ni muhimu kabla ya kumpa mtihani utakaokupa majibu sio!

Nadhani nimesoumeka hapo!
 
Nashukuru sana Mungu mkubwa amekulinda hukujifupisha maisha yako maana ilikuwa siku kama ya leo tulitangaziwa msiba wako

Nashukuru hata wewe utakufa kwani kuna m2 atabak hapa duniani? Kama wewe utabk hngera yako mimi nilishatangulia mbele za haki bado wewe harufu.
 
Last edited by a moderator:
HARUFU nashukuru kama ulitangaziw msiba wangu thanx cz wewe msiba wako hautotokea. Mi nishakufa bado wewe
 
Last edited by a moderator:
Kichwa cha habari na uliyo andika haviendani.
 
Mi huwa natenga pesa yake agombane nayo nahakikisha namgegeda kabla haijaisha!!!
 
jamani haya mambo ni maelewano sa ka wewe ni ke afu hujui majira ya nyakat utakuwa unadanganywa kila cku so be care dadazanguni
 
Kwa hiyo wewe na yule anayetaka tutangulize kwanza sh. laki tatu aende kwanza saloon mpo njia moja sio? Badilikeni jamani wanawake dunia itawafanya vibaya hii. So you meant papuchi is your capital, is it?

kwi kwi kwi cc lara 1
 
Last edited by a moderator:
"...We wakubalie alaf
wazungushe kidogo ili
uwapime kama kweli wapo tayari au wanataka
kuchakachua?...
"

Kuna kitu wasichana and/or wanawake (na hata baadhi ya wanaume) hamkijui! Kwa lugha nyepesi mmekariri!

Sisi wanadamu tunatofautiana sana kwenye kurespond vitu!

Kuna watu ukiwasumbua na kuwapelekesha and if wamependa kweli ndio watakaoingia kwenye hiko kipimo chako! But this is not conclusive!
Kuna matapeli wanaweza kupasi kwenye hiko kipimo! = utamsumbua, atasumbuka but mwisho wa siku akikuvua pichu mchezo unaishia hapo!

Also kuna w/me hawapendi usumbufu (includes me) hata wakupende vipi ukijaribu tu kuleta za usumbufu ana conclude wewe sio wife material as a result anachanganya soli mapema sana!

Embu w/ke tambueni hilo!
Njia za kumpima m/me whether anamapenzi ya kweli or not ziko nyingi na zitategemea na m/me mwenyewe!

Kumsoma mtu ni muhimu kabla ya kumpa mtihani utakaokupa majibu sio!

Nadhani nimesoumeka hapo!

hehehehe nahitaji darasa la peke yangu best
 
Jukwaa hili la mapenzi huwa ndio jukwaa ambalo huwa haipiti siku mbili bila kuangalia posti za mahusiano. Tuachane na hayo leo nitazungumzia vitu ambavyo huwa nikiwaza huwa naenjoy sana hususana kwa wanaume au wavulana. Mara nyingi wavulana huwa wanatulaghai sana sisi wanawake ili mradi watuchungulie alafu wanasepa. Utakuta mwanaume mtu mzima anakuaproach alafu anavyokuaproach anaweka uwongo mwingi mpaka unamshitukia, mara nataka nikuoe, nipo tayari kukuhudumia, nina malengo ya kuishi na wewe kama mke wangu. Hizi ndo swaga za wanaume. Hapo ukimchunguza kwa saikolojia tu utagundua kama ni tapeli ama lah. Wanaume wengine matapeli wa kukulaghai utawajua. We wakubalie alaf wazungushe kidogo ili uwapime kama kweli wapo tayari au wanataka kuchakachua? Utagundua ukimwambia nahitaji unitunze kwa kuwa imeandikwa hata kwenye vitabu vitakatifu kuwa mwanaume atatoka jasho ili mwanamke ale, japo mwanamke pia anazaa kwa uchungu. Apo ndio utakapo gundua kuwa asilimia nyingi ya wanaume huwa wanataka papuchi zetu tu alafu wanakimbia. Japo sio wote ila katika msafala wa mamba na kenge wapo pia. Tujitambue mapema jamani.

Sasa maelezo marefu mbona hujasema hao wanaume sijui wavulana wanaokukosha?

Sorry kwa watumia Simu wenye display ndogo kwa kumQuote
 
Kama unashida na wa ukweli nipo mimi njoo pm mimi sio tapeli nitakutunza
 
Huu uzee nilionao ni shiidaaaaaa... Hata sijamuelewa huyu binti..!!
 
Ukiona demu anaweka pesa mbele kabla ya kudinywa ujue keshajua papuchi yake haina maslai. Jamaa akigonga haridii.

Nakuunga mkono mkuu

Nimeshajaribu sana hii theory nikaprove kitu
 
Mwanaume atatoa jasho kwa mwanamke ale, sasa hii 2014 Papuchi pia tunatoa jasho. Msemo huo huo sema tafauti tu vutendo.

Sent from Samsung Note III using Tapatalk
 
Wanaume tunawajibika kutunza wake zetu na sio kutunza girlfriend au mchumba.
 
Back
Top Bottom