Sikubaliani na utafiti huo, angesema katembea na wangapi na akabaini hivyo,
Utafiti kimsingi hupitia hatua nyingi mpaka kutolewa kwa ripoti ya majumuisho!
Labda mleta mada hajaikopi ripoti yote tungeona na kuijadili ipasavyo! Ila niaminicho ni kuwa wanaume wa dotcom ni wasafi, makini, wanapenda na kujipenda!
Sasa kama aliofanyanao utafiti wananuka, pole yake! Lakini siamini kama hao wanawakilisha wanaume makini na marijali tuliotamalaki tz!
Arudie tena utafiti wake na aanze na mimi!
kaka mi toka jana najitaidi kuweka picha inazingua.pieni pic zake hapa kwanza tumuone
Yule Demu wenu wa CLOUDS FM...Diva ndio nani?
Na nyie si muwe mnafua tu yaishe.
Kwani Lizy na weye waungana nae kusema kuwa hatufui?? Umefanya utafiti??
Diva ndio nani?
View attachment 54339Huyu hapa. Sina shaka hata yeye ana harufu ya k.
wakaka wamekuja juu,kwa maneno na kashfa tele kwa dada wa watu....kafueni boxer....................hehehhhehe embu nicheke mie....
ni kweli kweli kweli tu wanaume wengi ni wachafuuuuu!!!!!!!!!!!mno jamani jirekebisheni ebo?