Wanaume wa Tanzania hawaogi, Hawafui nguo za ndani, Hawapigi mswaki?

Yeye mbona akipigwa style ya mbuzi kagoma harufu yote ya kinyesi inajaa puani mwa mshughulikaji???????!!!!!!!!!!!!!

KUMEPAMBAZUKA...haha!ww ndo wa kwanza kunifungua kinywa GITWA...LOL
 
Last edited by a moderator:
sa mmemtoa wapi tena uyu...hata yeye sio msafi...na ule uso kama FENESI...!madoa kama chui.
 
Sikubaliani na utafiti huo, angesema katembea na wangapi na akabaini hivyo,

Utafiti kimsingi hupitia hatua nyingi mpaka kutolewa kwa ripoti ya majumuisho!
Labda mleta mada hajaikopi ripoti yote tungeona na kuijadili ipasavyo! Ila niaminicho ni kuwa wanaume wa dotcom ni wasafi, makini, wanapenda na kujipenda!
Sasa kama aliofanyanao utafiti wananuka, pole yake! Lakini siamini kama hao wanawakilisha wanaume makini na marijali tuliotamalaki tz!

Arudie tena utafiti wake na aanze na mimi!
 
Plus vikwapa na miguu yani total full uchafu hiyo ndo status yakwanza,baada ya kushambuliwa na kutukanwa sana akaandika ya pili ha ha ha ha ha! Wakakomaa nae ya mwisho kaandika naona mmekasirika sana basi inawahusu lets go 4 more......
Sikubaliani na utafiti huo, angesema katembea na wangapi na akabaini hivyo,

Utafiti kimsingi hupitia hatua nyingi mpaka kutolewa kwa ripoti ya majumuisho!
Labda mleta mada hajaikopi ripoti yote tungeona na kuijadili ipasavyo! Ila niaminicho ni kuwa wanaume wa dotcom ni wasafi, makini, wanapenda na kujipenda!
Sasa kama aliofanyanao utafiti wananuka, pole yake! Lakini siamini kama hao wanawakilisha wanaume makini na marijali tuliotamalaki tz!

Arudie tena utafiti wake na aanze na mimi!
 
Kwa tunaoelewa hiyo kauli yake haitupi shida. Ametumia mithali na alikuwa anamaanisha anatafuta wanaume ambao ni wasafi maana amezoea kupumuliwa na wanaume wachafu.
Namshauri kabla hajaanza kuwapata hao wanaume wasafi anaowatangazia biashara, aende kuangaliaa VDRL na U:T.I hospitali inawezekana akawa kaambukizwa kutokana na tabia yake ya kupitiwa vidume vichafu.
pole zake dada yetu.
 
ni kweli kweli kweli tu wanaume wengi ni wachafuuuuu!!!!!!!!!!!mno jamani jirekebisheni ebo?
 
Ili kumjua mchafu kati ya mwanamke na mwanaume,kila mmoja avue nguo zote maeneo yenye inzi.Halafu,atakayefuatwa na inzi ndiye mchafu.Niko tayari kufanya zoezi hilo na Diva...
 
Kuna kaka mja ilibidi nimwambie alikuwa ananuka mpaka nzi wanamfuata akaoa tukajua sasa atasafishwa ila wapi,ni wanaume wachache sana ni wasafi hata wa hapa mjini,hata kipandi tupo chuo hosteli unamwona mtu anakwenda oga anarudia boxa hata wiki mzima kiukweli ni wachache sana sana,mtu anarudia soksi mpaka inakuwa ngumu,mfano tunazoziona sana wale wapanda daladala makonda yani anapoinama kwenye du!
 
Mimi sioni kama kuna haja ya kumshambulia kwani mwenzetu kafanya utafiti na huenda kati ya 100 alotembea nao 90 walikuwa na hayo anayoyalalamikia...kosa ninaloliona hapa ni kutokutupa Sampling frame na sample size ili tuweze kujua kama conclusion alofikia ni Valid........then tuhimizane kufua halafu tugeukie na upande wa pili wa kina dada zetu....
 
Kwani Lizy na weye waungana nae kusema kuwa hatufui?? Umefanya utafiti??

Hata siungani wala sipingi . .
Nasema tu muwaridhishe wale wanaounga mkono hoja.

Mkirua Kuweni na pair 5-7 za boxer na soksi ili muweze kubadilisha kila siku na kufua mara moja kwa wiki kama muda ni tatizo.
 
Last edited by a moderator:
diva1.jpg Huyu hapa. Sina shaka hata yeye ana harufu ya k.
 
wakaka wamekuja juu,kwa maneno na kashfa tele kwa dada wa watu....kafueni boxer....................hehehhhehe embu nicheke mie....

Na wewe umeingia kwenye gunia la mende eti. Wa dada ni mafuta tu na pafume ni wachafu saana nyie, mwanaume anuke kwani anaenda P. Jestina usiseme hivo na boy man wako ananuka au? Kama ndiyo mpige chini jaribu mwingine wakifika kumi wote wananuka then useme. Kwanza kiazi hunuka kwa ndani ukimenya au hunuka kwa nje?
 
Back
Top Bottom