umevurugwa wew c bure,kunywa Maji alafu kaa fikiria mara3!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
1)Umezaliwa kwa mama ambae alipigwa vesi na mshua mtanzania akamkubalia wakakuzaa,je huyu babako c mtanzania?hajui kutongoza?Bila tongozo hiyo ungekuwepo?
2)Najua wew c bikira na ninaamini mapenzi unayajua na ushagafanya xana na wanaume hata zaidi ya wa3,swali je hawa uliwatongoza wewe?na kama uliwatongoza wew umeathirika?ni mzima kichwan na kimwili?na kama n mzima je huwa unatabia ya kupanga foleni usiku unasbria magari ya mabosi?
3)Je wanaume wote walioa na na boys wa kitanzania wenye wapenz wao mikoa tofauti uliwatongozea wewe?
Ushauri;
siku nyingine acha kuropoka,uliza ni tofauti ya Utofauti wa kifikira kwa mwanadamu(individual differences) na mazingira ya tabia zao!!!na ukimaliza uhitimishe uzi wako kwa kusema kuwa
"Wanaume baadhi wanaowatongoza marafiki zangu hawajui kutongoza au baadhi ya wanaume wanitongozao hawajui kutongoza" coz uzi wako unaonyesha kabisa kutongoza unajua na tatizo ni vile utakavyo wewe utongozwe ndo wakufatao hawajui hvyo wafundishe au andika bango LA matangazo ili mwanaume yyte wakitanzania akija ajipange!!!mbavu zako pumba tupu!!!!na hii ni kwa ajili yako wew na marafiki zako walokutuma utudhalilishe wanaume marijali wakitanzania embu pm nikupige swaga za majaribio tuone ka hautontafta