Wanaume wa mikoani mnatuangusha wenzenu wa Dar kwa kutembea uchi

Tatetitotu

Member
Mar 6, 2018
58
42
Kipindi cha hivi karibuini nilitembelea mikoa kadhaa tofauti tofauti mijini na vijijini, katika Zungukazunguka angu nililjifunza mambo mengi sana mabaya na mazuri jambo zuri kuliko nilijifunza toka kwa watu wa mikoani ni ukarimu lakini kwa upande wa jambo la ovyo kabisa ni Wanaume watu wazima wenye Akili timamamu tembea uchi wa mnyama alafu wenyeji wanaona ni jambo la kawaida

Nikiwa simiyu katika Wilaya ya Itilima kijijini fulani midaa ya Saa tano asubuhi siku ya kazi tulikutana na vijana wakubwa wa 3 na mzee mmoja wakichimba shimo huku wakiwa Uchi wa mnyama isipokuwa yule mzee na wenyeji walionyesha kuwa tukio hilo ni lakawaida sana

Ukiachilia mbali Simiyu nikaja nikashudia kioja kingine nikiwa katika jiji la Mwanza nikiwa na tokea Rock city mail naelekea Nyegezi Nikiwa kwa daladala nikashuhudia tena Wanaume watu wazima wakioga uchi wa mnyama ufukweni bila hata chembe ya uoga na wananchi wanaona kawaida tuu

Nikiwa mkoa wa Mara katika Wilaya ya Rorya kijiji cha kitembe nikaona pia mwanaume anatembea uchi bila hata chembe ya uoga na watu hawajali

Hivi karibuni nikiwa natoka Igunga katikati ya mji wa Igunga na kata ya Shelui(Singida) Nikiwa kwa daladala nikashuhudia tena mtu akioga uchi wa mnyama huku akiwa kachuchuma Mzee wa kazi anakaribia gusa ardhi maana alikuwa na urefu wa mandingo

Katika huo huo mkoa wa Singida Kata ya shelui nikiwa kwa boda boda njiani namuona mtu mwenye akili timamamu anatembea uchi wa mnyama pembezoni mwa Barabarani bila hata chembe ya uoga na aibu

WITO:WANAUME WA MIKOANI ACHENI TEMBEA UCHI MNATUDHARIRISHA WANAUME KWANI KATI YA MATUKIO YOTE HAYO NI TUKIO MOJA TUU SIKUWA NA MTU MWENYE JINSIA YA KIKE
 
Unaujasiri wa kutazama mkuyenge wa mwanaume mwenzako.
Sio ujasiri ni mambo ambayo sikuwa kutarajia kufanyika mikoani kwa sababu ya kuaminishwa kwamba ndo sehemu pekee ambapo maadili ya kiutu yalikuwa angarau yamebaki hivyo nilivyokuwa nakutana nayo dizani nilikuwa na pigwa butwa la mshangao najikuta natazama Huku nilikuliza maswali mengi yasiyo na majibu
 
Hao uliowaona wengine machiz hats dar mablaza men wanavalia chini ya makalio kutuonyesha mfereji maringo
 
Dar ndo mkoa pekee tanzania wenye wanaume wengi mashoga yaan

Inasadikika katika kila kundi la wanaume 10
Wanaume 6 mpaka 8 ni mashoga
 
Kwani shida iko wapi? Kila mtu si anayo hiyo bunduki. Ni kiungo tu kama vile sikio au mguu
 
Watu wa mikoani hawana tofauti na mifugo. Wakija mjini lazma tuwachunge kama ng'ombe wasipotee au kupata ajali.
 
Sasa umeshasema wanaoga ufukweni cha ajabu kipi?halafu huko itilima huenda watu walikuwa kwenye matambiko ama uchimbaji wa dawa kwa mazingira yetu(utamaduni) sisi tumeshazoea.lakini pia mtu kutembea uchi njiani si ajabu hao wapo wengi tu mikoa kutokana na matatizo ya akili.mimi nimekaa moro 2004-2006 mpaka nikajiuliza hivi huu mji kila familia kuna vichaa?maana wamejaa mjini na wengi wako uchi.
Halafu kwa nyinyi wageni wa dar mlioingia kwa mbio za mwenge, mambo ya kuoga ufukweni kando ya barabara mbona ilikua kawaida tu pale posta labda kwa sasa.
 
Huko kwenu Dar unavua kwa ajili ya kushughulikiwa ila Itilima wanavua kwa ajili ya Kazi.
 
Back
Top Bottom