Wanaume wa Marekani mna nini?

Wanaume wa Marekani mna nini?

Kwahio hivyo ndio vitu wakikuona navyo wanashoboka?!!

Mi sijui kama wakiniona navyo wanashoboka.

Huwa najali mambo yangu tu.

Labda hilo swali ungewauliza wenyewe maana mimi sijawahi kuwauliza.
 
Mi sijui kama wakiniona navyo wanashoboka.

Huwa najali mambo yangu tu.

Labda hilo swali ungewauliza wenyewe maana mimi sijawahi kuwauliza.
Ok nilifikiri na wewe unashobokewa na mj zako za USA.
 
Ok nilifikiri na wewe unashobokewa na mj zako za USA.

Inawezekana nashobokewa lakini sijui...

Na nimetolea mfano wa 23s kwa sababu hizo zinajulikana zaidi.

Ningeweza kuweka Florsheim na Donald J. Pliner na watu mkatoka kapa!

Na hapo najua watu mta Google kutaka kujua ni vitu gani hivyo😀😀😀.
 
Inawezekana nashobokewa lakini sijui...

Na nimetolea mfano wa 23s kwa sababu hizo zinajulikana zaidi.

Ningeweza kuweka Florsheim na Donald J. Pliner na watu mkatoka kapa!

Na hapo najua watu mta Google kutaka kujua ni vitu gani hivyo😀😀😀.

Ningetoka kapa,ila ungekuwa umenisaidia kujua ni nini....kama sasa hivi nishajua ni nini?
 
Wenzio tulivyo kwenda mbele kishule kurudi bongo likizo madem wakali wa high school kama wa 4 hivi nikapiga show na sikuhonga hata 100. Unamtoa out, swimming, eating mtoto anajaa ye mwenyeeewe, napiga show. Mpaka kuna wakati sikuamini kama nimekula ile mizigo. Daah

Achalia mbali na wanaoleta shobo na ni wakali haswa. Yani kama unaishi states hujaoa ukiwa unarudi bongo likizo these chicks utawachoka mwenyewe (kikubwa tumia kinga tu), wengine wanaweza waka kunasia mimba. Issue ni wajue the position ur in and toa out mbili tatu. Utaniambia.

Hahaha. Talk about flexing, almost nobody does it better man. Got to give you that.
 
Wewe mtoto wewe?
Eti karudi na bukta 2!lol
Usisahau pia alirudi na 500$ baada ya miaka 30!!!
ahahaaa mzee wa mabebs alikuja na hela hyo tena enzi hizo exchange rate si ilikuwa elf bongo?
 
Mkuu usigenerelize!!!!! kam una mkeo mkamate ipasavyo wala usimwachie uone km atakusaliti!!!! mwanamke huwa asaliti ndoa kizembe ivo,,,, mfn,,, unakesha JF, FB, INST n.k lakin akikutext msg mkeo hujibu mpaka unarudi hom ndo una mpa kwa mdoMo je unazan hapo kati hawez tokea atae timiza haja zake???? unakumbatia laptop adi wik 2 znapta game hujampa je hapo kati hajafatwa nakuombwa??? matokeO yake mke wa mtu akitoka nje ya ndoa anaonekan ye malaya mkubw tofaut na mwanaume atokavyo wala hawez kufikiliwa vibay badala hake mwanamke ndo anakuw mbaya siku zote!!!!!!! MUNGU awasamehe nyinyi mnaoona mwanamke kila lililO baya ni lake.
Hapo kwenye mawasiliano umenena,mwingine unachart nae ni kama unalazimisha,msg zake kifupifupi unahamu ya kuchart nae lakini ye wala haoni uzito hapo akitokea wa kukupa company ndio hivo unaanza kuhamisha hisia taratibu
 
Hapo kwenye mawasiliano umenena,mwingine unachart nae ni kama unalazimisha,msg zake kifupifupi unahamu ya kuchart nae lakini ye wala haoni uzito hapo akitokea wa kukupa company ndio hivo unaanza kuhamisha hisia taratibu

Uliwe kwa sababu tu ya kuchat, duh, wewe kiboko! Jamaa yako yuko busy anapiga kazi kwa ajili yako, wewe unawaza kuchat naye, ukiona harespond, unaanza kuwaza dushe la mtu mwingine! Nomaaaaaaaa!
 
That one there is the effect of brainwashing masela.
 
Back
Top Bottom