Wanaume wa Marekani mna nini?

Wanaume wa Marekani mna nini?

Wewe Ngabu unaona umeshaanza kutamanisha watu huku

Ndo natoka Walmart....hapo getini kuingia kwenye subdivision nayoishi....

20160618_113807.jpg
20160618_113817.jpg
 
Yeah, it's an herbal liquor. It's sweet and earthy, citrus and honey. It's good you should check it out, but make sure you get Benedictine and not B&B (which is a pre mixed cocktail).

Cool beans.

I'll see if they have it in the stores in my neck of the woods.
 
Ngabu katika majukumu yake. Mchukue na bi dada hapa, anataka kuja huko.

You took a lead, called me for private messages. Sounded like you know all the nitty gritty of how to head to US, getting a US visa so to say. How come you call others to the rescue? What did you want to tell me in PM? You sound a moron, an impersonator, american wanna be!

From Kaliua, Misungwi you name the place you are right now, you wanna show people like you know it all about US? Learn to zip it whenever you have nothing to say man! You know nothing other than the US embassy opposite Oysterbay police station, hearsay or some exchange visits.

How can you suggest on how to get a visa, one get I20 while they dont want to go for studies, or business visa while have no business whatsoever, or visiting visa so one can overstay and become illigal immigrant; and on top of that suggesting to find someone... for what again.

Shut your damn mouth up.
 
Kwa heshima na taadhima ningeomba tu kumwuliza kaka yangu nyani ngabu "je unaishi kwa makaratasi ya permit au ulipata greencard ukiwa bongo" ?

Naamini swali langu halijakuudhi kaka nyani

Maana na Mimi Nina ndoto za kutimkia huko nikipata nafasi bongo jua Kali tu na vumbi jingi
 
Back
Top Bottom