You got issues.Jamani jamani vijana wa leo!!! Badilikeni, kuleni vyakula vya kujenga afya acheni michipsi ya gengeni, acheni kula bugger,
Mwanaume unatakiwa kula mboga mboga, ugali, Dagaa, samaki., maharage....matunda nk.....mjenge afya zenu...
Kula ugali au vyakula vya kuchemsha si ushamba au umasikiniii jamani ni afya....
Wanaume vijana wa leo asilimia kubwa nguvu hawana kabisaa akipanda sekunde kashashuka lol !!! Mtaibiwa wake na girlfriend zenu hakiyanani...
Usipokuja ndo hujipendi
khaaa! acha tu nisijipende. mpwapwa patakuwa hapakaliki bure.
Nakudai mafuta ya ubuyu
njo uchukue.
Niletee mpwapwa mbali
penye vizuri umbali sio issue. unataka au hutaki? hayo mafuta.
Kumbe Kuna vizuri vinanisubiri?nilidhani ni mafuta t
Tutaibiwa na nani maana umesema wanaume wa kileo? Au tutaibiwa na vijana wa kesho na wababu jana?
Binafsi hizi mada zenu za kutaka wanaume wawe slaves wa kuwarizisha bila nyie kubadilisha maono, u-drama queen,umalaya, kufutuka tu kuwa kama maputo, ubinafsi, akili za ku-copy na ku-paste!
Kwa maono yangu hamna hata thamani za mama zenu, mmechoka balaa, chini hamna ladha kama kutafuna taulo liloloa!
Binafsi ni bora nijitume kwa Mmama wa miaka 45 kwenda juu bila hata kuhitaji chochote coz wana ladha kuliko haya matapu tapu ya umri wangu
Nani anataka kujututumua kwa kitu kisicho na adhi ya kujitutumua!
Wataibiwa na nani wakati umesema vijana sasa ni wote au baadh kama baadh sema kabisa
Ila wanawake wanaruhusiwa kula hivyo vyakula au uroho wenu mnataka mle wenyewe? thubutu nitakula na kwenye game unakimbizwa vile vile acheni mashairi yasiyokuwa na vina hayo,kama unampenda mtatafuta njia ya kusolve tatizo kwa pamoja na hahuo ndiyo tunaita upendo wa dhati siyo unajiibisha mwenyewe kwa kisingizio eti haniridhishi kwanini hukuolewa na yule ambaye ulihisi anakuridhisha? wewe kama umeamua kuchepuka chepuka tuJamani jamani vijana wa leo!!! Badilikeni, kuleni vyakula vya kujenga afya acheni michipsi ya gengeni, acheni kula bugger,
Mwanaume unatakiwa kula mboga mboga, ugali, Dagaa, samaki., maharage....matunda nk.....mjenge afya zenu...
Kula ugali au vyakula vya kuchemsha si ushamba au umasikiniii jamani ni afya....
Wanaume vijana wa leo asilimia kubwa nguvu hawana kabisaa akipanda sekunde kashashuka lol !!! Mtaibiwa wake na girlfriend zenu hakiyanani...
Jamani jamani vijana wa leo!!! Badilikeni, kuleni vyakula vya kujenga afya acheni michipsi ya gengeni, acheni kula bugger,
Mwanaume unatakiwa kula mboga mboga, ugali, Dagaa, samaki., maharage....matunda nk.....mjenge afya zenu...
Kula ugali au vyakula vya kuchemsha si ushamba au umasikiniii jamani ni afya....
Wanaume vijana wa leo asilimia kubwa nguvu hawana kabisaa akipanda sekunde kashashuka lol !!! Mtaibiwa wake na girlfriend zenu hakiyanani...
ni wa binafsi, maisha mazuri wapewe wao, kuongwa wao, kuridhishwa kimapenzi wao, kutetemekewa wao,kulala wabembelezwe kwanza wao walale, kwenye raha lady is first!Wanawake wa kileo wanajiangalia wao kuwa wana haki ya kuridhishwa hawafikirii kama mama zetu....umeongea point kaka
kaamka na nani huyu? kashindwa kumpangia diet mtu wake na kujiweka mkao wa kutamaniwa na kupaniwa halafu anategemea mbio ndefu?Naona leo umeamka nao.
Tutaibiwa na nani maana umesema wanaume wa kileo? Au tutaibiwa na vijana wa kesho na wababu jana?
Binafsi hizi mada zenu za kutaka wanaume wawe slaves wa kuwarizisha bila nyie kubadilisha maono, u-drama queen,umalaya, kufutuka tu kuwa kama maputo, ubinafsi, akili za ku-copy na ku-paste!
Kwa maono yangu hamna hata thamani za mama zenu, mmechoka balaa, chini hamna ladha kama kutafuna taulo liloloa!
Binafsi ni bora nijitume kwa Mmama wa miaka 45 kwenda juu bila hata kuhitaji chochote coz wana ladha kuliko haya matapu tapu ya umri wangu
Nani anataka kujututumua kwa kitu kisicho na adhi ya kujitutumua!