rasdavy
Member
- Jun 23, 2012
- 84
- 14
Jamani jamani vijana wa leo badilikeni, kuleni vyakula vya kujenga afya acheni michipsi ya gengeni, acheni kula bugger.
Mwanaume unatakiwa kula mboga mboga, ugali, Dagaa, samaki, maharage, matunda ili mjenge afya zenu.
Kula ugali au vyakula vya kuchemsha si ushamba au umasikini jamani ni afya.
Wanaume vijana wa leo asilimia kubwa nguvu hawana kabisaa akipanda sekunde kashashuka.
Mtaibiwa wake na girlfriend zenu hakiyanani.
Ukipiga show ndefu mnakuja tena hapa kujilalamisha mara ooh kuna wanaume wanachoshana. Mnaongea sana nje huku ili mjilinde madudu yenu mnayofanya kitandani ila ukweli mnajua