Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,661
- 68,633
Kuna watu humu wanajifanya ma VIP we acha kabisa, huyo jamaa alimtapeli mpaka Maxence Melo mwenyewe na Maxence akapaniki humu humu akapigwa BAN japo yeye ndio founder wa JF. Tumetoka mbali na hii JF.
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Mmmh max akapigwa ban lini?