Wanaume wa JF ni kweli huu ujumbe wa huyu dada?

Michango yote hiyo ya wanaume wenzangu inaonyesha unyenge wao kwenye malevidave styles. Mie nakubaliana na caren kuwa wengi wa wanaume wa kibongo uwezo mdogo kwenye mavituzi kwa kuwa wanategemea value, konyagi na bia kabla ya kugonga. Bila hivyo kimoja cha taaaaaaaabu. Wakipewa mbwa koko wanamwaga kabla hata hawajaingia ndani. Tunahitaji kujua staili zaidi ili kuboresha mapenzi yetu
 
Huyu unampiga "triple plug" haulizi tena cha style. Wala hatajua ni style gani imetumika, zaidi kuloa tu.
 
naona na sredi imekuwa CONFIGURED!....
posta wake ameundergo MUTATION in a second.........
nilitaka kuchangia hii sredi kwa kiforeign language lakini muda hauruhusu! na mtoa mada amepotea katika mazingira ya kutatanisha.

kampeni zimechukua muda wangu wote wa JF. naomba nitume salam kwa -:
aspirin hapo wodi ya wazazi muhimbili.
festiledi1 akiwa ikulu ya mama ntilie maeneo ya kwa mfuga mbwa
bht popote alipo
nyamayao akiwa jukwaa la mahusiano JF
geoff akiwa mafichoni sauz afrika kwa zulu natali
bila kumsahau noname maeneo ya baghdadi iraqi
pia na mjamzito mtarajiwa wa siku za mbele mama preta a.k.a mtetea haki wa vyura wa kihansi
nawashkuru nyote. jimbo likipatikana nitahakikisha mnapata suti za vitenge.
 
mie kwa kweli ninavyo enjoy na huyu wangu cjui niambiwe nini, ckumbukagi hata na stlye semanakutaka nimekunjwa/binuliwa/geuzwa huku na kule...haaa kweli hii thread ihamishiwe chumbani...lol...
 
nilitaka kuchangia hii sredi kwa kiforeign language lakini muda hauruhusu! na mtoa mada amepotea katika mazingira ya kutatanisha.

kampeni zimechukua muda wangu wote wa JF. naomba nitume salam kwa -:
aspirin hapo wodi ya wazazi muhimbili.
festiledi1 akiwa ikulu ya mama ntilie maeneo ya kwa mfuga mbwa
bht popote alipo
nyamayao akiwa jukwaa la mahusiano JF
geoff akiwa mafichoni sauz afrika kwa zulu natali
bila kumsahau noname maeneo ya baghdadi iraqi
pia na mjamzito mtarajiwa wa siku za mbele mama preta a.k.a mtetea haki wa vyura wa kihansi
nawashkuru nyote. jimbo likipatikana nitahakikisha mnapata suti za vitenge.

bht anatumia jina gani? Najua Super Star ni jamaa wa Mizigo!
 
nilitaka kuchangia hii sredi kwa kiforeign language lakini muda hauruhusu! na mtoa mada amepotea katika mazingira ya kutatanisha.

kampeni zimechukua muda wangu wote wa JF. naomba nitume salam kwa -:
aspirin hapo wodi ya wazazi muhimbili.
festiledi1 akiwa ikulu ya mama ntilie maeneo ya kwa mfuga mbwa
bht popote alipo
nyamayao akiwa jukwaa la mahusiano JF
geoff akiwa mafichoni sauz afrika kwa zulu natali
bila kumsahau noname maeneo ya baghdadi iraqi
pia na mjamzito mtarajiwa wa siku za mbele mama preta a.k.a mtetea haki wa vyura wa kihansi
nawashkuru nyote. jimbo likipatikana nitahakikisha mnapata suti za vitenge.

kupitia chama gani?
 
nilitaka kuchangia hii sredi kwa kiforeign language lakini muda hauruhusu! na mtoa mada amepotea katika mazingira ya kutatanisha.

kampeni zimechukua muda wangu wote wa JF. naomba nitume salam kwa -:
aspirin hapo wodi ya wazazi muhimbili.
festiledi1 akiwa ikulu ya mama ntilie maeneo ya kwa mfuga mbwa
bht popote alipo
nyamayao akiwa jukwaa la mahusiano JF
geoff akiwa mafichoni sauz afrika kwa zulu natali
bila kumsahau noname maeneo ya baghdadi iraqi
pia na mjamzito mtarajiwa wa siku za mbele mama preta a.k.a mtetea haki wa vyura wa kihansi
nawashkuru nyote. jimbo likipatikana nitahakikisha mnapata suti za vitenge.
dah nimemsahau na nguli akiwa maporomoko ya maji ya rift valley.
na mbu kule jalalani mbagala.
ahsanteni sana. ni mimi mgombea binafsi klorokwini
 
nilitaka kuchangia hii sredi kwa kiforeign language lakini muda hauruhusu! na mtoa mada amepotea katika mazingira ya kutatanisha.

kampeni zimechukua muda wangu wote wa JF. naomba nitume salam kwa -:
aspirin hapo wodi ya wazazi muhimbili.
festiledi1 akiwa ikulu ya mama ntilie maeneo ya kwa mfuga mbwa
bht popote alipo
nyamayao akiwa jukwaa la mahusiano JF
geoff akiwa mafichoni sauz afrika kwa zulu natali
bila kumsahau noname maeneo ya baghdadi iraqi
pia na mjamzito mtarajiwa wa siku za mbele mama preta a.k.a mtetea haki wa vyura wa kihansi
nawashkuru nyote. jimbo likipatikana nitahakikisha mnapata suti za vitenge.
ha ha ha ha!.....
umenikumbusha hotuba za jeikei
NITAHAKIKISHA
TUTAHAKIKISHA
TUTAJITAHIDI
TUTA....
NITA....
 
mmh apana
sikuungi mkono mbiga!
we ulidondokea kwenye mkono mbaya jamani ...wat io knw iz wanaume wa kibongo wanajua sana majambo na si kingine sa kama wwewe ukliangukia kwa kilaza aliyekuwa anakuipa style tatu tu pole jamani lakin ulikuwa una haki y akumwambia hii naipenda hii siipendi sasa wewe ukawa unamchora tu kaka wa wawatu?
iyo research ya uwongo au km ulikuwa unatafuta kujastfy notion iyo i can say noooooooooooooooo labda uliangukia pabaya..............from my lil research ni kwamba wajerumani na watu wengi wa ulaya uko hawajui hii mambo wavivu na style zao ni hafifu...........km vp try again bt WABONGO NI WA UKWELI SHUGULI NA STYLE IPO ...........hahahaha!!!!

Wewe ni mwanamke mkweli na muwazi kabisa... Kagulia hapa hapa!






:welcome:The Following 4 Users Say Thank You to Rose1980 For This Useful Post:

Asprin (Today),:welcome::welcome: funzadume (Today), katt williams (Today), Super Star (Today)​
 
Michango yote hiyo ya wanaume wenzangu inaonyesha unyenge wao kwenye malevidave styles. Mie nakubaliana na caren kuwa wengi wa wanaume wa kibongo uwezo mdogo kwenye mavituzi kwa kuwa wanategemea value, konyagi na bia kabla ya kugonga. Bila hivyo kimoja cha taaaaaaaabu. Wakipewa mbwa koko wanamwaga kabla hata hawajaingia ndani. Tunahitaji kujua staili zaidi ili kuboresha mapenzi yetu

he/she?

HAHAHAHA!
i really doubt kama nimemwelewa mchungaji....
JAMAA WA MIZIGO.....!hehehehe,kumbe anapenda sana totooz huyu

:eyebrows: :lol:
 
nilitaka kuchangia hii sredi kwa kiforeign language lakini muda hauruhusu! na mtoa mada amepotea katika mazingira ya kutatanisha.

kampeni zimechukua muda wangu wote wa JF. naomba nitume salam kwa -:
aspirin hapo wodi ya wazazi muhimbili.
festiledi1 akiwa ikulu ya mama ntilie maeneo ya kwa mfuga mbwa
bht popote alipo
nyamayao akiwa jukwaa la mahusiano JF
geoff akiwa mafichoni sauz afrika kwa zulu natali
bila kumsahau noname maeneo ya baghdadi iraqi
pia na mjamzito mtarajiwa wa siku za mbele mama preta a.k.a mtetea haki wa vyura wa kihansi
nawashkuru nyote. jimbo likipatikana nitahakikisha mnapata suti za vitenge.

Hahahaha!

Niko bize wodini hapa na huyu mtarajiwa. Nikicheki naona ana tududu twa malaria. Hebu leta dozi moja hapa mheshimiwa tiba ya malaria.:confused2::confused2:
 
Kabla hamjatoa hukumu zenu naomba nitoe maelezo ya staili ambazo wanaume wetu wanatumia:
1. Kifo cha mende: Misionary Position
2. Mbwa koko: Doggy Style
3. Mwanamke Juu: Woman on top

Sasa najua wengi wenu mtajitamba kuwa mnatumia style zaidi ya hizi lakini kwa utafiti nilioufanya extensively kwa wanawake wenzangu walioolewa, wale wenye boyfriends na pia walioachika wote wanasema wanaume zao hawabadilishi style. 70% wanasema kifo cha mende ndio pekee inatumika. 25% wanasema wao wanarely on Dogy na only 5% say wanaombwa kuwa on top.

Wanawake wa JF niungeni mkono.

Hizo za wakwale wako uliokutana nao!!Kama mimi ninastyli kama 8 hivi!
(1)Paka chongo
(2)Genda ogaruke
(3)Tour in my room
(4)Katerero owakibanja!
(5)Ni meku-poke
(6)Under me!..............ninazotumia...1,2,4,5..nazakwako

1. Kifo cha mende: Misionary Position
2. Mbwa koko: Doggy Style
3. Mwanamke Juu: Woman on top kama unabisha just PM:A S 8::A S 8::playball:
 
Kabla hamjatoa hukumu zenu naomba nitoe maelezo ya staili ambazo wanaume wetu wanatumia:
1. Kifo cha mende: Misionary Position
2. Mbwa koko: Doggy Style
3. Mwanamke Juu: Woman on top

Sasa najua wengi wenu mtajitamba kuwa mnatumia style zaidi ya hizi lakini kwa utafiti nilioufanya extensively kwa wanawake wenzangu walioolewa, wale wenye boyfriends na pia walioachika wote wanasema wanaume zao hawabadilishi style. 70% wanasema kifo cha mende ndio pekee inatumika. 25% wanasema wao wanarely on Dogy na only 5% say wanaombwa kuwa on top.

Wanawake wa JF niungeni mkono.
ha ha ha? wakuunge mkono kwa lipi mkuu?
1.SI RAHISI KUPATA HALI HALISI.
2.KAMA MWANAMKE ANATAKA STAILI YA KIFO CHA MENDE UTAMPAJE STAILI NYINGINE?
3. SAMAHANI ,ULISHAWAHI KUMUELEZA SHEMEJI ABADILISHE STAILI AKAISHIA HIZO TATU TU?
 
Leo Caren kawaambia ukweli kwamba ni wachovu na vistaili vyenu viwili/vitatu mnakuja juu mapuvu yanawatoka mdomoni,ukweli unauma muwe wabunifu acheni kumshupalia dada wa watu mpaka kaingia mitini.
 
Hizo za wakwale wako uliokutana nao!!Kama mimi ninastyli kama 8 hivi!
(1)Paka chongo
(2)Genda ogaruke
(3)Tour in my room
(4)Katerero owakibanja!
(5)Ni meku-poke
(6)Under me!..............ninazotumia...1,2,4,5..nazakwako

1. Kifo cha mende: Misionary Position
2. Mbwa koko: Doggy Style
3. Mwanamke Juu: Woman on top kama unabisha just PM:A S 8::A S 8::playball:


Mzee niPM unipe somo hao wapwa wataiga wacha wabaki na zao tatu tu!
 
Back
Top Bottom