64Bits
JF-Expert Member
- Aug 4, 2012
- 961
- 565
Leo naomba niwaongelee wanaume wenye tabia hii.
Hivi inakuwaje mfano mkeo/partner unae lala nae kitanda kimoja anakuamsha usiku anakwambia mpenzi naumwa unamtazama unamwambia "pole".
Kisha unageukia upande wa pili unalala mpaka asubuhi.Hujali hata kuuliza ni nini kinachomsibu mwenzio na unawezaje kumsaidia.
Ngoja sasa aumwe yeye, mtoto wa kike ataamka, atamtengenezea chai kama anahitaji hata supu atapika na ikibidi atamuogesha.
Hivi wanaume hamfikiriagi kuwa na wanawake nao wanahitaji huruma na ukarimu na kupendwa especially wakiwa hawasikii vizuri.
Kama mwanaume unavyojisikia raha ukiletewa kikombe cha chai kitandani ukiwa unaumwa basi na mwenzio atasikia raha vile vile ukimfanyia jema.
Haya basi kupika huwezi basi hata kauli laini huna, mpaka aumwe vipi ndo awe anaumwa sana mpaka umjali au mpaka akifa ndo utajua alikuwa anaumwa sana.
Mtu unapaswa ujifunze mwenzio anapenda nini kutoka kwenye yale mema anayokufanyia, ukimfanyia hivyo na yeye atafurahi. Baadhi ya wanaume wanadhani wakishatoa hela nyumbani then basi, hela ni za muhimu lakini sio kila kitu, wanaume wa hivi hovyo.
Hivi inakuwaje mfano mkeo/partner unae lala nae kitanda kimoja anakuamsha usiku anakwambia mpenzi naumwa unamtazama unamwambia "pole".
Kisha unageukia upande wa pili unalala mpaka asubuhi.Hujali hata kuuliza ni nini kinachomsibu mwenzio na unawezaje kumsaidia.
Ngoja sasa aumwe yeye, mtoto wa kike ataamka, atamtengenezea chai kama anahitaji hata supu atapika na ikibidi atamuogesha.
Hivi wanaume hamfikiriagi kuwa na wanawake nao wanahitaji huruma na ukarimu na kupendwa especially wakiwa hawasikii vizuri.
Kama mwanaume unavyojisikia raha ukiletewa kikombe cha chai kitandani ukiwa unaumwa basi na mwenzio atasikia raha vile vile ukimfanyia jema.
Haya basi kupika huwezi basi hata kauli laini huna, mpaka aumwe vipi ndo awe anaumwa sana mpaka umjali au mpaka akifa ndo utajua alikuwa anaumwa sana.
Mtu unapaswa ujifunze mwenzio anapenda nini kutoka kwenye yale mema anayokufanyia, ukimfanyia hivyo na yeye atafurahi. Baadhi ya wanaume wanadhani wakishatoa hela nyumbani then basi, hela ni za muhimu lakini sio kila kitu, wanaume wa hivi hovyo.