MR MAJANGA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2014
- 3,526
- 10,820
mabilionea wanakula miguu na utumbo wa kuku?
Wakuu huu ni ukweli kwa asilimia kubwa ni baada ya kufanya utafiti na kusoma majarida mbalimbali na kugunduA wanaume vujana kwa wazee ni watu wenye fedha zao
Mfano kwenye majengo marefu kuna ndugu zangu wamewekeza huku
Kwenye biashara kuna watu kama mengi ; rostam aziz ; bakharesa;manji
Kuna watu wanamiliki mayard ya magari kuna watu wanamiliki ma petrol station..na pia vile vile kuna watu wana mabaa makubwamakubwa
So tuheshimu na tusiwe na dharau watu wa dar
Pia kuna benki kuu na mambo yote mengi yapo huku
Ubilionea wa pesa na akili za kutafuta pesa
Mkuu acha kutapatapaHata ubilionea wa senti za senti za dola za Zimbabwe ni ubilionea wa pesa.
Ubilionea wa akili ndio ukoje huo? Unahesabu akili mpaka zinafika bilioni?
Unafahamu bilionea maana yake ni nini?
Mkuu acha kutapatapa
Nikuulize wewe benki kuu ipo wap??
Mgao wa escrow ulifanyikia mkoa gani
Mkuu dar kuna mabilionea mkuu
Ubilionea wa pesa mkuu
Take cream people like dewji ;mengi ;and other business man ndio utapata jawabu usikurupuke mkuu
Ni watu wadar ila hapa nimefocus kitAIFA DAR INASIMAMA WAPI na watu wake kulinganisha na wa mikoaniMatonya types na hao mishen town wanaopiga mizinga ya nauli na kukaa mabondeni madongokuinama kunakofurika ikinyesha mvua kidogo tu Msimbazi mbona huwataji?
Sio watu wa Dar nao?
Ni watu wadar ila hapa nimefocus kitAIFA DAR INASIMAMA WAPI na watu wake kulinganisha na wa mikoani
Jibu linakuja wana hela kushinda wengine (general)
Ndio hizo hizo mkuu