[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]HAHAHAHA GILESI BHANA.....
Kyakyakyaa kweli hiyo ni kachumbali ya dusheWanaume wa Dar... wanapofanya mapenzi wanakuwa na viungo kama wanapika pilau... Mara KY, condom, mafuta ya massage, Congo dust, pembeni redbull au roobust, maji makubwa na Konyagi
Bado hawajala mihogo, karanga mbichi na nazi, supu ya pweza
Bado hawajatafuta chumba chenye AC
Mbadilike bhana
Hata huko chuga huwez kosa mwanaume anayebana pua. Kwan lord eyez ndio mwanaume peke yake chugaMi kitu nachukia staili yao ya kuongea wanaume wa dar.asee huwa naudhika naona km mtu anabana pua vile!arusha na moshi mtu akiongea unajua huyu dume linaongea!fananisha sauti ya lord ize na mtoto wa kidar
Ni mfano nimetoa!lakini staili yenu mnavyoongea wengi wenu inaleta ukakasiHata huko chuga huwez kosa mwanaume anayebana pua. Kwan lord eyez ndio mwanaume peke yake chuga
Uliokutana nao tu mkuu.Ni mfano nimetoa!lakini staili yenu mnavyoongea wengi wenu inaleta ukakasi
Ofcoz sio wote wanaongea hvyo.Uliokutana nao tu mkuu.
Hayo majitu saiv yametapakaa kila mahali. Kuna siku nlkua morogoro nikaliona limoja linajibinua binua. Mpaka kichefuchefuOfcoz sio wote wanaongea hvyo.
umeona ehhKyakyakyaa kweli hiyo ni kachumbali ya dushe
Arusha kuwa teja ni ujikoHata huko chuga huwez kosa mwanaume anayebana pua. Kwan lord eyez ndio mwanaume peke yake chuga
Dunia imekuwa gunia.hata marijali siku hizi wanajishauashaua km mabinti.wanapenda maisha bora bila kufanya kazi.mwisho hata akiombwa anatoa huku kaweka urijali pembeniHayo majitu saiv yametapakaa kila mahali. Kuna siku nlkua morogoro nikaliona limoja linajibinua binua. Mpaka kichefuchefu