Wanaume wa Dar mnanisikia? Mbadilike Bwana

Wanaume wa Dar mnanisikia? Mbadilike Bwana

Naomba ufafanuzi maana halisi ya "wanaume wa dar"
ina wahusu wanaume waliozaliwa dar,wanaoishi dar au wenye hasili ya eneo hilo???
 
na bado supu ya pweza, yani huu mrundikano wote anakuwa nao mtu mmoja, tatizo kukamia....!
 
Yani Mbeya huku na hutu tumvua. Mi ni ndomu tu chini mto, kitandani ni duvet. Hapo ni lele mpaka kieleweke.
 
Back
Top Bottom