Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,219
Mwanaume wa dar akila nyama ya kuku wa kienyeji mwenye afya kutoka mkoani anan'gooka meno Kwanzaa hawamalizi sahani moja ya chipsi
Waache waendelee kula vitu vyao vilaini mwanaume anakula kiepe na juice ya ukwaju hawezi kula magimbi na ugali kama wa sisi mkoani
Eti tamthiliya yenu ya sultan iliishaga?
Waache waendelee kula vitu vyao vilaini mwanaume anakula kiepe na juice ya ukwaju hawezi kula magimbi na ugali kama wa sisi mkoani
Eti tamthiliya yenu ya sultan iliishaga?