Wanaume wa Dar buana...!

Unaruhusiwa kuwa kauzu ila kwa nini wewe ukiwa kauzu ni sawa na mimi nikiwa kauzu inakuwa nongwa? That's my concern
 
Kuna mmoja kitambo iko aliwai niletea mdomo daladala nzima wakaanza msupport, ahahah nilinyanyuka na sentesi moja shika mia nne shuka subiri gari ingine.

Ukweli wanawake hawapendani kuanzia uko labor wanakojifungulia adi makaburini nafikiri ni ile hali ya kuoneana wivu fulani.

Mfano toka na mchepuko au mke wako then fika hotelini au mgahawani then demu akaombe kiti jirani na alipokaa binti ahahah then tazama reaction
 
Ndiyo tofauti kuumbwa na ya kutengenezwa, MWANAE kaumbwa MWANAMKE katengenezwa.
 
Unaruhusiwa kuwa kauzu ila kwa nini wewe ukiwa kauzu ni sawa na mimi nikiwa kauzu inakuwa nongwa? That's my concern

Kwa mfano uliotoa hicho kitu alichosema hyo jamaa ni fact hata ww nahic unafahamu sema labda hutaki kubali tu, nyie huwa hampendani flani so ishu hapo aliyokuwa anataka aseme haswa sio swala la kupisha kiti maana yyote yule angeweza kumpisha sema point yake ni kwanini wanawake hawaoni wakifanya hvyo mara kwa mara kama wanaume?? Kwann huwa mnachuki za wenyew kwa wenyew zisizo na msingi?
 
Kusema ukweli me kwenye gari ndio maana napendaga kukaa nyuma kabisa au mbele.

Mambo ya mtu umejichokea na foleni hizi za dar unataka uperuzi JF anakuja mzee, au mwenye mtoto. Halafu makusudi anasimama karibu yako

Nawekaga ear phone masikioni kabisa.
Kama ni asubuhi nachukua na gazeti nasoma.
 
binamuu una mbinu kama yangu
Kusema ukweli me kwenye gari ndio maana napendaga kukaa nyuma kabisa au mbele.

Mambo ya mtu umejichokea na foleni hizi za dar unataka uperuzi JF anakuja mzee, au mwenye mtoto. Halafu makusudi anasimama karibu yako
 
Sio chuki, mimi binafsi huwa naona kama wanaume wana wajibu wa kupisha nikiona midume imejikausha ndio nanyanyuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…