Wanaume: Vijue visa vya michepuko

Wanaume: Vijue visa vya michepuko

Mkuu ulifanya jambo la maana. Nilishawahi kuwa na michepuko kadhaa, nianze na Maureen yeye alikuwa muuza duka la Nguo, kila akikupigia simu yake ujue ni kizinga cha haja. Kuna siku alinipigia eti kapata loss ya laki 3 dukani anaomba nimlipie nikamtumia laki 2, kesho yake akanipigia dear upo wapi? Nikamuambia nipo Arusha kikaz akadai nna hamu ya kukuona nikamkatia tiketi ya fastjet 230,000 (return ticket) sasa siku ya safari nakumbushia awahi airport eeh anadai eti kapata period (tumbo la hedhi) kalala hawezi kusafiri aisee nilipata hasira. Nikamblock na kufuta namba yake. Michepuko ni ugonjwa wa moyo.
Hayo ni matendo makuu Mungu amewatendea nendeni makanisani na misikitini mkamtukuze Mungu na msirudi nyuma kamwe!!!
 
Kila ukilala,ukiamka unawaza leo nitoe thread gani,hivi unaga shughuri nyingine ya kufanya au hunaga cha kusema hd utuseme kila siku wanawake?yani nakupatia picha ht huyo demu wako yukoje?ndio nyie mnakujaga kutoa siri za wake zenu ht km kajamba utaenda kumtangazia,lol acha hizo bhana

Nachomkubali STUNTER mada zake huwa na kauhalisia fulani hivi na za kuburudisha pia. binafsi huwa naenjoi
 
Kila side chick anatamani siku moja awe main chick, tena hawa ambao uliwambia Iam married halafu wanajifanya mioyo yao imetengenezwa na maganda ya bamia, anakwambia "worry not darling mi sinaga hata wivu wala sitakubana ila tu nikikutaka unipe dyudyu yangu usijifanye bize na mkeo am ready for wateva"

Ndo wana balaa sio mchezo mkianza atajifanya anamheshimu mkeo kabla ya kupiga simu anakuuliza 'are u free nikupigie' ila baadae dyudyu ikikolea anasahau (baundary) basi anajikurupukia tu sa9 usiku anatwanga eti "nimekuota bebi i wish you were here"

Mhh saa hizii? Akiona hukolei sasa anakutengenezea balaa ili mkeo agundue, akikukosa kwenye lipstick kwenye kola ya shati basi siku hizi wana misabuni yao na viungo- mseto vya kuweka ndani ya uvungu kunogesha penzi vinanukia balaa vinaitwa mishki na shaibu.

Nyuchi zinawekewa pilipili hoho mixer na viungo vya pilau mzee ukichepuka ukirudi home mkeo lazima agundue maana unabakia na harufu ya biriani siku 3 hata uoge na OMO haitoki labda ujisugue na utomvu wa mpapai na steel wire.
Haaa haaa stunter katika ubora wake
 
Kila ukilala,ukiamka unawaza leo nitoe thread gani,hivi unaga shughuri nyingine ya kufanya au hunaga cha kusema hd utuseme kila siku wanawake?yani nakupatia picha ht huyo demu wako yukoje?ndio nyie mnakujaga kutoa siri za wake zenu ht km kajamba utaenda kumtangazia,lol acha hizo bhana
Acha zako wew, bora usingecomment umeharibu. Kila MTU na life yake Fanya yako mkuu
 
Back
Top Bottom