Mkuu ulifanya jambo la maana. Nilishawahi kuwa na michepuko kadhaa, nianze na Maureen yeye alikuwa muuza duka la Nguo, kila akikupigia simu yake ujue ni kizinga cha haja. Kuna siku alinipigia eti kapata loss ya laki 3 dukani anaomba nimlipie nikamtumia laki 2, kesho yake akanipigia dear upo wapi? Nikamuambia nipo Arusha kikaz akadai nna hamu ya kukuona nikamkatia tiketi ya fastjet 230,000 (return ticket) sasa siku ya safari nakumbushia awahi airport eeh anadai eti kapata period (tumbo la hedhi) kalala hawezi kusafiri aisee nilipata hasira. Nikamblock na kufuta namba yake. Michepuko ni ugonjwa wa moyo.