ShkamooKila ukilala,ukiamka unawaza leo nitoe thread gani,hivi unaga shughuri nyingine ya kufanya au hunaga cha kusema hd utuseme kila siku wanawake?yani nakupatia picha ht huyo demu wako yukoje?ndio nyie mnakujaga kutoa siri za wake zenu ht km kajamba utaenda kumtangazia,lol acha hizo bhana
Sio kwamba hatuzipendi yani umekuwa one side,hebu siku toa thread ya wanaume wenzako maan sio kwa mchambo huo baba,kha au ndo umepokea kijiti cha muendelezoReal hamuzipendi posts zangu???
Naomba niwe mchepuko wako maana unafurahia uzinziDah!
Wengine Wana nidham balaa yani Hadi 'Laha Lohoni Unafulahia' tu.
Yani me ananiuzi km analipwaAlikuwepo monicca naona kapumzika sasa kamuachia kijiti
Wewe itakuwa hausomi kwa makini posts zangu... Mbona jana tu niliposti za upande wetu? Na ijayo pia itakuwa ni dongo kwetuSio kwamba hatuzipendi yani umekuwa one side,hebu siku toa thread ya wanaume wenzako maan sio kwa mchambo huo baba,kha au ndo umepokea kijiti cha muendelezo
Chepuko nuksi ujiloge umtie mimba ndo balaa mpaka Trump atajua.
Sasa unataka umsaidie majukumu au?