Wanaume: Vijue visa vya michepuko

Wanaume: Vijue visa vya michepuko

Sasa utajiona booonge la boya na utajilaumu sn pale utakapogundua kwamba huyo mkeo, "the so called maza haus", unayehis unamvunjia heshima, unagundua kumbe na yeye ni mchepuko kwa mchizi fulani. Na jamaa anajipigia vizur tu.

Haya mambo bana hayana formula. Usimuone kama yeye yupo perfect na ww ni mkosaji sn. Moyo wa mtu ni kichaka, na kuwalinda hawa watu ni kazi mno. Si unajua ile hata akipewa John mchana, inaoshwa inakuwa mpya kbs na jioni unapewa vizur tu. Hahahaha
 
ngoja waduwanzi watakuchana freestyle hpo... especially wenye hzo tabia za kukuwekea pichu kwenye begi la job.
 
Tena kuna trend vijana siku hiz eti ana mchepuko jimama limemzidi umri hata miaka 20 lakini yumo tu. Vijana mnajizeesha mapema, huyo ajuza unajichosha tu, tafuta/tulia na msichana mwenye unaokaribiana na wewe mufurahie uumbaji.
cc. Wachafu Classic.
 
Kila side chick anatamani siku moja awe main chick, tena hawa ambao uliwambia Iam married halafu wanajifanya mioyo yao imetengenezwa na maganda ya bamia, anakwambia "worry not darling mi sinaga hata wivu wala sitakubana ila tu nikikutaka unipe dyudyu yangu usijifanye bize na mkeo am ready for wateva"

Ndo wana balaa sio mchezo mkianza atajifanya anamheshimu mkeo kabla ya kupiga simu anakuuliza 'are u free nikupigie' ila baadae dyudyu ikikolea anasahau (baundary) basi anajikurupukia tu sa9 usiku anatwanga eti "nimekuota bebi i wish you were here"

Mhh saa hizii? Akiona hukolei sasa anakutengenezea balaa ili mkeo agundue, akikukosa kwenye lipstick kwenye kola ya shati basi siku hizi wana misabuni yao na viungo- mseto vya kuweka ndani ya uvungu kunogesha penzi vinanukia balaa vinaitwa mishki na shaibu.

Nyuchi zinawekewa pilipili hoho mixer na viungo vya pilau mzee ukichepuka ukirudi home mkeo lazima agundue maana unabakia na harufu ya biriani siku 3 hata uoge na OMO haitoki labda ujisugue na utomvu wa mpapai na steel wire.
Aisee! We mshenzi (nimekusifu) umetiririka ukweli mtupu. Inabidi uwe na roho ya kiume, ukizembea michepuko inaharibu.
 
ila kiukweli wanaume hatuwatendei haki wake/wenza wetu, kuna siku hiyo side chick alikuwa anataka pesa sijui akasuke na kupata pesa ya kununulia nguo eti kuna sherehe ya bethidei ya shoga yake ili atokelezee, akaomba kama laki hivi. Namnukuu "baby naomba laki tuu si unajua kuna party ya fulani nataka nitokelezee" nikamsikilizaaaaa katika hiyo simu alopiga, alipomalipomaliza kuongea sikumjibu, nikakata simu, kisha nikakaa na kuanza kufikiria. Maana juzi kati tuu mama mwenye nyumba alitoka kuniomba pesa ya kufanya shopping na pocket money ya matumizi ya hapa na pale, nikamtoleaga nje kuwa sina pesa.

Aisee baada ya kukata simu ya huu mchepuko simu na kufikiria kwa muda, nikainua simu na kumpigia maza haus na kumwambia, ombi lake limesikilizwa. Nikirudi nitampatia kiasi alichoomba. Aisee niliporudi tuu home, nikakata kilo 2 na kumkabidhi fanya unachotaka kama ulivyoniambia. Aisee alishangaa, maana sijawahigi kumpa pesa kama hiyo kwa mkupuo. kesho yake narudi home nakuta kuna mchele, mafuta, unga maharagwe na mazagazaga mengine ya jikoni. Huku yeye akiwa kanunua gauni moja na mimi kanichukulia shati moja kama suprise. Aiseeee nilijiona nimeokoka katika mdomo wa mamba mchepuko.

washenzi sana hawa michepuko, Ila na sisi wanaume tunayatakaga haya matatizo ya michepuko.
Wasiwasi ndio akili
 
Michepuko inakua na wivu(feki) kuliko mke home.
Nimeoa jmosi na line ya simu nime badilisha mchepuko unanitafta kwa washkaji na wife anani force nirudishe line ya zamani hapo ndo vita nimegoma kabisa na wife ni Mzungu naogopa niliweka line ishu hadharani mchepuko ni sumu
 
Nimeoa jmosi na line ya simu nime badilisha mchepuko unanitafta kwa washkaji na wife anani force nirudishe line ya zamani hapo ndo vita nimegoma kabisa na wife ni Mzungu naogopa niliweka line ishu hadharani mchepuko ni sumu
Kaka nikupongeze kwa uamuzi sahihi wa kuoa na kuachana na michepuko. Sasa jenga familia kwa nguvu zote.
 
Michepuko sio wandugu. Hawajawahi kuwa wema toka kuumbwa kwa ulimwengu.
 
Back
Top Bottom