Wanaume vijana 20's-35 wanaboa sana!

Wanaume vijana 20's-35 wanaboa sana!

Aisee..yaani bora usipewe kabisaaaa....kuliko kunawishwa tu kisha wapokonywa tonge mdomoni kha....
Halafu anajisifu mpaka unamshangaa wakati wewe ulitegemea aombe radhi hayuko sawa!
Wanaume wanapungua!!!
 
There are currently 443 users browsing this thread. (33 members and 410 guests)....mmh inaonekana hii mada ina mvuto
 
Shem wajua mie sioni raha mpaka nione ni maujanja gani wamsukumizia nayo dada angu!

Shem...utamu wa ngoma ni kuicheza sio kukaa kando kupiga miluzi na makofi...
Hayo maujanja yananoga yakifanyika sio kuzungumzwa tu...
 
Shem...utamu wa ngoma ni kuicheza sio kukaa kando kupiga miluzi na makofi...
Wenye kujua huwa wanakaa kimya kando

Au sio...
Ndio maana unaokota tu mapweinti pembeni ee!
Haya shem,nimekusoma.
 
There are currently 443 users browsing this thread. (33 members and 410 guests)....mmh inaonekana hii mada ina mvuto

Raia wanaivutia kasi wikiendi kwa kujipandisha mzuka hapa...
 
unajua nilikuwa siamini walivokuwa wanasema mwanamke anaogopa kufanya marutundu ataonekana m.alaya
kwa hiyo we best mtu akiwa anafika kileleni nyumbani kwao kulikuwa kuna bar ya gongo sio?
na yule asiyejua kilele manake nyumbani kwao kulikuwa na makerubi?
UUUUUUUUUUUUUUUUUUUWIH KUWA MWANAMKE NI KAZI SANA!
miss yu Kongosho

Mabinti waliolelewa kimaadili hawachelewi kufika kileleni. Nyie sugu ndio mnaolalamika mlichauchezea uke mpaka umekuwa sugu. Hivi Dem anayetumia Dildo mara kwa mara atafika kilele? lazima afungue uzi wa kulalama tu.
 
Ati nini?
Endelea kumgusagusa tu huku ukiomba Mungu asikutane na wa kumshika mkono akampeleka kibo ilipo lazima utakuja kufungua uzi wa malalamiko ya kukimbiwa.

Hivi inakuwaje mwanaume anaku.mba halafu haufiki kileleni? nani wa kulaumiwa? Mbona sisi tunafika?. Matatizo yenu msimtafute mchawi wachawi ni nyie wenyewe kwa usugu wenu.
 
loooh :doh: huyu garder nimemtoa bushi nina wasi wasi nae na my wife wangu isije ikawa wananiliaga mingo nikiwa sipo :confused2:
 
Back
Top Bottom