Nzowa Godat
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 2,785
- 823
Nimekuwa nikiwaambia mabinti kwamba mnakosa starehe kwa kuwafuata hao vijana wa dot com, wazee nd'o mpango mzima.
Ati nini?Siop hawajui bali mmekuwa sugu. Mabinti walilelewa kwenye maadili sio ishu kufika kileleni.
biashara matangazohayo mambo wanafanya muhimbili.
kuna wanawake wanalidhishwa na dushelele linavyo kuna kikunio...
kuna wanawake huridhika hata kwa kuutomasa tomasa mwili wake dushelele linamalizia sehemu ndogo sana......
sikulupuki kama unavyodhania.....yule alirudisha fedha kwa sabab alikunwa akakunika akasema sina haja ya kukulipisha wakati umenifanya nijisikie ni mwanamke niliekamilika....umenisoma
Siop hawajui bali mmekuwa sugu. Mabinti walilelewa kwenye maadili sio ishu kufika kileleni.
Poleni waathirika wa generelization.hatuonekane wanao onekana ni hawa madogo wanao vaa suruali kwenye makalio wao wanajua kupanda na kushuka kama wako safarini......pamabfu zao........wapiga kazi tumetulia tuuuuuuuuuuuuu.......
alafu anajiona kafanya kazi kweli kweli na viagra zake kumi alizomeza hahahahaahah au unakuta kaboostiwaHapo ndipo madogo wanapokosea. Kuchochea kama stovu baas.
Find over 35-45.. utaujua utam wa shughuli..
Na ucfuate muonekano wa Mtu,wapaka Pouda na Wabana Pua michosho
Hahah afu wewe.
Storongo ni kimalizio cha utamu. Vidole na ulimi vinakuwa vishatimiza majukumu ya utamu kwa asilimia kubwa.
Kama storongo ndo ingekuwa mambo yote lesbians wasingekuwepo.
Vijana fanyeni mautundu vitandani, sakafuni na mabafuni kabla hamjaitumia storongo. Mechi bila mazoezi mtakuwa wachovu na timu itakosa ushindi.
Sijui nani kahack account yangu leo. Mi siandikagi matusi kabisaaa
Hahaaaa....Ivi huyu mhamiaji haramu bado yupo nchini?
unajua nilikuwa siamini walivokuwa wanasema mwanamke anaogopa kufanya marutundu ataonekana m.alaya
kwa hiyo we best mtu akiwa anafika kileleni nyumbani kwao kulikuwa kuna bar ya gongo sio?
na yule asiyejua kilele manake nyumbani kwao kulikuwa na makerubi?
UUUUUUUUUUUUUUUUUUUWIH KUWA MWANAMKE NI KAZI SANA!
miss yu Kongosho
Aza mkuu hizi generalizations sio nzuri. Scientifically u can't base an argument on three samples and the conclude.
ahahaahhahahahhhhhhhhhhhhhhhhhhhahahahahhahahahhahahhaha
nilikuwa sijacheka toka asubuhi!
kwahiyo Zahra White unataka kusema vijana waendelee tu kupiga supra na suruali za kijani wazee wa njenje ndo mpango mzima!
ahahahhaha wapi dogo langu la toka enzi za mwalimu Madame B