Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Hebu anza halafu uone.............
Majibu yako mie huku hoi ujue............
Hebu anza halafu uone.............
Wako poa mbona jamani wanawake wengine wagumu kujojoa unaweza kukesha nao ukaambulia kumia mgongo na kiuno na hii tabia ya ule mtandao ule wa simu umewafanya wakose manyegenye huko kwa bibi halafu mnaishia kulaumu umri wa wanaume toeni mtandao huo 0713 mridhike. Msijishebedue bure hapa,,
Uwiiii mbona raha....
Afute kauli tafadhari....!
Nani anataka kunukishwa shombo??
Kula nisishibe heri nisipewe
Ndo maana nikasema suala la vyakula na mazoezi halihusiki sana kwa 7bu hii c kazi ya kilimo cha kufa ama kupona,mtu anakojoleshwa hata mara 4 na dhakari haijaingia! Kuna wengine ukipatia kugusa kile kinembe kila muda mkono unaloa,ukizamia chumvini ndo usiseme,lazima ukate kiu!!!
Afute kauli tafadhari....!
Hahaha shem naona sasa wanichokoza nitupiemo maujanja....ngastuka!!!
Majibu yako mie huku hoi ujue............
Wababa tumekusikia tutakufuata PM tuongee biashara...wababa above 35 oyeeeee!!!
Chezeya mipingo na kabumbu la wababa wewe...hadi 'mhamiaji haramu' kiswahili yake imekaa sawa sasa...
Najuta kukuita loooo unawanyegesha wenzako bwana ha ha ha ha
Wanaoishi mikoani ila si vijana wa dar es salaam offcourse nimeshafanya kazi mikoa sana vijana wanasimamia show vibaya sana ila si vijana wa dar es salaam yaani aibu wanatia aibu
Hakatwi mtu hapa.........Hakatwi mtu chochote.......
huyu mkoloni hana ubavu wa kunikata mshahara maana anajua ninavyompuliza pale kati.........