Wanaume vijana 20's-35 wanaboa sana!

Wanaume vijana 20's-35 wanaboa sana!

Niko siriazi kwenye hili jambo ni janga la taifa
na kweli inawezekana una research paper 4 au 6 hiv i za hii mada huwezi kaazia namna hii vijana wanakula uporo wa chips allafu wanaenda gegeda hahaahahahahahaah
 
Nitafute uone kama utawapenda tena hao wababa,utashushwa kitonga,senkenke mpaka mlima salanda,na vitakavyo baki...PM YAKO NAINGOJA.
alafu wanaojisifia namna hii ndio hamnaga kitu kabisa unajuta kuvua hata vyupi vyako !
 
Umetukosea sana Vijana,Vijana wenzangu hii Chungu lkn dawa wenye mapungufu tuingie chimbo tukajifue Upya,yale mambo we unapiz umemaliza dem anaendelea kukatika bado ndio madhala haya
 
Itakuwa mnatuoa nyie ila starehe tunazipata kwa wababa.
Zahra White!
Nashukuru kwa kunitoa kizani,
Bazazi alikuwa akijiuliza!
Ni kwanini kila akichukua kamdada
Ni lazima baada ya k#tomb@na kamuambie AKSANTE Baba!
Kumbe ni ukame, ugwadu na hamu ya siku nyingi
Inakuwa imekwatwa
Konsolatha Upo!

Bazazi!
 
Nadhani we ni sugu. Ulianza mambo ukiwa mdogo sana, hivyo umekomaa sana kabla ya umri wako. Imagine hujaolewa na umefikisha nanihi tofauti 6! Je mmewako atakuwa wangapi? TULIZANA!
 
Ahahahaaaaa...naona una-justify kuliwa na vibabu huna lolooote. Hiyo sample yako ya vijana watatu kati ya vijana zaidi ya milioni 25 wa tanzania kwa mujibu wa sensa ya mwaka juzi..mbali na kugomewa na watu wenye iman mbalimbali za kidini bado tunaiamini kuwa ni sahihi.

Na je katika hiyo sample yako ulikutana na wenye mkono sweta?...maana hao wanasifika kwa kuwafikisha vileleni wanawake sugu kama wewe...kama hukukutana nao basi polee..rudi tena field ka-collect data kisha uje kufanya analysisi yako.

who cares omba game fasta afute usemi! lol
 
Zahra White!
Nashukuru kwa kunitoa kizani,
Bazazi alikuwa akijiuliza!
Ni kwanini kila akichukua kamdada
Ni lazima baada ya k#tomb@na kamuambie AKSANTE Baba!
Kumbe ni ukame, ugwadu na hamu ya siku nyingi
Inakuwa imekwatwa Konsolatha Upo!

Bazazi!

Zahra White!
Nashukuru kwa kunitoa kizani,
Bazazi alikuwa akijiuliza!
Ni kwanini kila akichukua kamdada
Ni lazima baada ya k#tomb@na kamuambie AKSANTE Baba!
Kumbe ni ukame, ugwadu na hamu ya siku nyingi
Inakuwa imekwatwa Konsolatha Upo!

Bazazi!​
 
Tatizo mliokulia mhogo mnapungua zubedayo mchuzi,wa chipsi yai wanaongezeka kwa hiyo probability ya wadada kukutana nanyi inakuwa almost negligible. CC Watu8 aione kwenye file.

hatuonekane wanao onekana ni hawa madogo wanao vaa suruali kwenye makalio wao wanajua kupanda na kushuka kama wako safarini......pamabfu zao........wapiga kazi tumetulia tuuuuuuuuuuuuu.......
 
Last edited by a moderator:
who cares omba game fasta afute usemi! Lol

caroline kuna wimbo wa mijizee ya kizungu ya zamanii sijui linaitwa nani ken rogers or what..lilisema "sometime you dont have to fight to be a man......but u gota to fight son to show you r a man"

huyu wala sihitaji kumwomba game...she dont desrve to share a bed wit me.....a great thinker deserve a great n smart lady too.
 
Nikweli.......... yani vijana hawajui mapenzi wachovu, ila ukikuta anavyojisifia utasema kweli ndio huyu huyu sitaki mwingine, kitandani hakuna kitu hadi unajiuliza hivi huyu nikijana kweli? na ndio aliyekuwa anajitapa? vijana wa kiume kwahili mmmmm!!!!!!!!!

hao ni wale watoto familia bora kingresa kuanzia getini kwa mlinzi hadi jikoni kwa mpishi,masaa yote anabembea tu...
 
kabang! Lol. Jamani fanyeni mazoezi ya kutafuta speed na kuweka heshima kwa ndoa zenu!

wala sio mazoezi tuu..na umjuwe mwenzi wako akiitwa wapi anaitika vizuri....na maandalizi pia ni kitu muhimu kuanzia kimwili na kiakili pia...

Sio jitu linanuka kikwapa linataka ulipige 3-0. Zitoke wapi wakati mie nakereka na ng'onda uliyemvundika katikati ya mapaja....

Au jitu linakuja na stress zake linadaiwa saccos mawazo yako hukoooooo lilikokopa unagonga ngozi hata bao 100 huna unapomfikisha coz hamuendi safari moja..wee unasafiri kumbe mwenzio yupo pride kwenye marejesho yake ya mkopo...

Aende bwana huyo anakera tuu hana kitu chochote sana mikelele tuu.
 
Utakuta umempenda kijana mwenzako aaa kwa mapenzi kabisa unampa gemu kwa kujua atakushusha mlima kitonga mwisho wa siku unaambulia kubakizwa na vumba tu!!!
Jamani inakera sana vijana fanyeni mazoezi,mle vyakula vizuri chips yai na mikate asubuhi zinawaharibu mbona wakubwa miaka 40's na kuendelea wanatufikisha?Nimefanya resercha yangu wababa 3 vijana 3 ila kwa kweli wababa wanajua jamani tuwape hongera sasa nyie vijana sijui tatizo ni nini?sijui vyakula,sijui haraka,sijui stress za maisha hamko stable.
Huku mjini kuna wamama wanauza mihogo mibichi na matango muwe mnanunua kidogo zinasaida pia mule korodani za jogoo.
Itakuwa mnatuoa nyie ila starehe tunazipata kwa wababa.

Mimi mtu mzima ndio maana sijachangia...ngoja inayowahusu waendelee....vipi ijumaa inasemaje lakini
 
Itabidi tuanzishe "Sitting Room Party" au sijui tuiite ni "Grocery Party" kwa vijana wa kiume kuwapa maufundi ya kuwashughulikia hawa jinsia pinzani kabla hawajaingia mashindanoni. Haiwezekani wadogo zetu wakawa wanadhalilishwa na wapinzani wa jadi kwa vitu ambavyo wanaweza kufanya marekebisho kidogo tu. Ila kwa upande mwingine kuna haja ya wadogo zetu kubadilika unakuta kijana kasuka nywele au anaweka dawa, katoga masikio na kuvaa heleni, muda wote yuko saloon anasuguliwa uso na vibinti halafu haishi kujiangalia sura kwenye kioo!! Huwa najiuliza hivi mtu wa hivi kweli anaweza kuwasugua hawa viumbe pinzani wakaridhika kweli?.
 
Back
Top Bottom