wala sio mazoezi tuu..na umjuwe mwenzi wako akiitwa wapi anaitika vizuri....na maandalizi pia ni kitu muhimu kuanzia kimwili na kiakili pia...
Sio jitu linanuka kikwapa linataka ulipige 3-0. Zitoke wapi wakati mie nakereka na ng'onda uliyemvundika katikati ya mapaja....
Au jitu linakuja na stress zake linadaiwa saccos mawazo yako hukoooooo lilikokopa unagonga ngozi hata bao 100 huna unapomfikisha coz hamuendi safari moja..wee unasafiri kumbe mwenzio yupo pride kwenye marejesho yake ya mkopo...
Aende bwana huyo anakera tuu hana kitu chochote sana mikelele tuu.
Ndugu! Mbona umejibu kwa hasira hivi binti amekugusa nini?