Kumbe ukweli unaumae!! Vijana hawawezi shughuli si basi? Hadi uthibitishe sio leo. Poleni vijana.
Acha kushindia chips yai wewe!!!
Utakuta umempenda kijana mwenzako aaa kwa mapenzi kabisa unampa gemu kwa kujua atakushusha mlima kitonga mwisho wa siku unaambulia kubakizwa na vumba tu!!!
Jamani inakera sana vijana fanyeni mazoezi,mle vyakula vizuri chips yai na mikate asubuhi zinawaharibu mbona wakubwa miaka 40's na kuendelea wanatufikisha?Nimefanya resercha yangu wababa 3 vijana 3 ila kwa kweli wababa wanajua jamani tuwape hongera sasa nyie vijana sijui tatizo ni nini?sijui vyakula,sijui haraka,sijui stress za maisha hamko stable.
Huku mjini kuna wamama wanauza mihogo mibichi na matango muwe mnanunua kidogo zinasaida pia mule korodani za jogoo.
Itakuwa mnatuoa nyie ila starehe tunazipata kwa wababa.
Utakuta umempenda kijana mwenzako aaa kwa mapenzi kabisa unampa gemu kwa kujua atakushusha mlima kitonga mwisho wa siku unaambulia kubakizwa na vumba tu!!!
Jamani inakera sana vijana fanyeni mazoezi,mle vyakula vizuri chips yai na mikate asubuhi zinawaharibu mbona wakubwa miaka 40's na kuendelea wanatufikisha?Nimefanya resercha yangu wababa 3 vijana 3 ila kwa kweli wababa wanajua jamani tuwape hongera sasa nyie vijana sijui tatizo ni nini?sijui vyakula,sijui haraka,sijui stress za maisha hamko stable.
Huku mjini kuna wamama wanauza mihogo mibichi na matango muwe mnanunua kidogo zinasaida pia mule korodani za jogoo.
Itakuwa mnatuoa nyie ila starehe tunazipata kwa wababa.
kwi kwiii kweli chips kiporo zinalegea sanaTena hata zile nanilii zao legea kaama poro la chips
Ahsante kwa kuwa ukweli vijana hawa hawafai sijui papara
Dah, siamini kama vijana wote wana matatizo hayo. mie tangia niwe kwenye ulimwengu wa malove sijawahi kunung'unikiwa na mwanamke eti kwa kutomfikisha kileleni. tena mara nyingi mwanamke huwa wa kwanza kufika kileleni halafu mie ndo namalizia. kama huamini nipm
Mkuu, nimecheka sana, umenikumbusha shuleni boarding, unga uliisha tukawa tunakula wali kila siku, wasukuma wakaandamana wakilalamika eti hatuli chakula, kila siku ni matunda tu, teh teh teh.Ndio maana sisi Wasukuma chips yai kwetu tunakula kama matunda tu...
Kweli akutukanaye hakuchagulii tusi, nina miaka 26 niko Dar naomba uje ukakamilishie huo utafiti wako kwangu nakula chips na yai nusu ili uje hapa useme kama kweli unayo yasema ni ya kweli!!!!Utakuta umempenda kijana mwenzako aaa kwa mapenzi kabisa unampa gemu kwa kujua atakushusha mlima kitonga mwisho wa siku unaambulia kubakizwa na vumba tu!!!
Jamani inakera sana vijana fanyeni mazoezi,mle vyakula vizuri chips yai na mikate asubuhi zinawaharibu mbona wakubwa miaka 40's na kuendelea wanatufikisha?Nimefanya resercha yangu wababa 3 vijana 3 ila kwa kweli wababa wanajua jamani tuwape hongera sasa nyie vijana sijui tatizo ni nini?sijui vyakula,sijui haraka,sijui stress za maisha hamko stable.
Huku mjini kuna wamama wanauza mihogo mibichi na matango muwe mnanunua kidogo zinasaida pia mule korodani za jogoo.
Itakuwa mnatuoa nyie ila starehe tunazipata kwa wababa.
Maana hakuna namuna nyingine.
Wababa tumekusikia tutakufuata PM tuongee biashara...wababa above 35 oyeeeee!!!
Chezeya mipingo na kabumbu la wababa wewe...hadi 'mhamiaji haramu' kiswahili yake imekaa sawa sasa...
Nakwambia ukweli vijana wa dar es salaam ni majanga ndo maana vibanda vya waganga nguvu za kiume vinaongezeka wapo kama kuku