itara
JF-Expert Member
- Aug 10, 2013
- 2,240
- 1,576
Wanaoishi mikoani ila si vijana wa dar es salaam offcourse nimeshafanya kazi mikoa sana vijana wanasimamia show vibaya sana ila si vijana wa dar es salaam yaani aibu wanatia aibu
tatizo hali ya hewa ...mashine hazikawii kusinyaaa na kulegea fasta...
huwa ligi la arusha na dar nitofauti mno.