Wanaume tuwe na huruma

Wanaume tuwe na huruma

Daaah huyu kaka pepo ataisikia kwa jiran yke, yaan hana hata roho ya huruma yaan unafanya dhambi mpaka shetan mwenyewe anashangaa sio vzr kabisaaa

Wanawake hakuna wanaume anaekupenda akakwambie mfanye mapz kinyume na maumbile, hakutakii mema tuache kujaribu jaribu kila kitu.
 
Ukimuacha tu mikosi inaanza na wewe na usitegemee kuwa utakuwa na furaha tena.
Bora mrekebishane umuoe.Kuna watu mna laana kweli.
 
Hata ukioa mwingine kaa ukijua kuwa dhambi yako itakufuata, as long as karma exists
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom