Wanaume tuwe na huruma

Wanaume tuwe na huruma

Stori za fesibuku bhana huwa sitaki kuziona, ni za kutunga tu ilimradi
 
Nimeishia Hapo Juu Sehemu Ambayo Imenifanya Niangalie I'd Na Avatar Nitarudi Kuendelea
 
Alikataa kwa sababu ni mtu wa dini sana. Hivi ni dini gani hiyo ambayo haramu ni ngono kinyume na maumbile tu lakini uzinzi inaruhusu? Nataka nikajiunge na mimi niwe nabanjuka kwa raha zangu
Nitafute leo jioni mkuu nikuunge na hiyo dini.
 
Alikataa kwa sababu ni mtu wa dini sana. Hivi ni dini gani hiyo ambayo haramu ni ngono kinyume na maumbile tu lakini uzinzi inaruhusu? Nataka nikajiunge na mimi niwe nabanjuka kwa raha zangu
hii kitu inashangaza sana, asilimia kubwa tumezaliwa katika jamii ambazo tangu udogo wetu tumepatwa kufundishwa kuwa kufanya mapenzi kabla au nje ya ndoa si sawa (dhambi), ila asilimia kubwa tunalipuuza hili kadri tunavyokuwa na kuona kufanya mapenzi ni moja ya haki zetu za msingi regardless ya dini zetu, dhambi pekee kwa sasa tunayoiona ni kufanya mapenzi kinyume na maumbile.
 
Nimeandika na kufuta mara 7 ngj nitulie kwanza ntarudi baadae
Haya mapenzi ya upofu wa namna hii ni hatari sana. waathirika wakubwa mnakuwa ni wanawake. Ona sasa dada wa watu kakubali kuingia kwenye huo ulimwengu akidhani anaokoa na kulinda penzi kumbe anaangamizwa.
 
Kuna watu wana dhambi kuzidi dhambi zenyewe sio kuwa
wengine ni wasafi rahasha ila najiuliza kwanini watu kama hao hawakuwepo Msanvu
Sasa wale wa msamvu ni zaidj ya hao unaowasema. Ogopa mpaka Mungu kaleta kihama cha kushtukiza
 
Alikataa kwa sababu ni mtu wa dini sana. Hivi ni dini gani hiyo ambayo haramu ni ngono kinyume na maumbile tu lakini uzinzi inaruhusu? Nataka nikajiunge na mimi niwe nabanjuka kwa raha zangu
Always smart
 
Imenisikitisha sana hata kama umeitoa fb huyo bint alifikir akitoa tigo ndio hataachwa
Huwa wanakuwa na frustration za kijinga, hapo utakuta alikuwa anafikiria wenzake washaolewa, akafikiria akiachana na huyo jamaa itamchukua muda kumpata wa kumuoa na muda pia utakuwa umesogea. So akaona bora tu hiyo kitu ili kumkeep jamaa pasipo kujua mwenzake tayari alikuwa na mipango ya kumuacha muda mrefu.
 
% kubwa story za fb hazina ukweli wowote nadhani na hii ni the same, tufanye ku assume kama ni kweli. Hio aibu unayomuonea mtoto wa watu kwani wakati unayatatua hayo marinda ulikua humuonei aibu, usipomuoa wewe nani amuoe.. Umerikoroga linywe tu hamna namna acha kutafuta excuse na maoni ya watu kujipa haki dhidi ya ulichokifanya
 
Haya mapenzi ya upofu wa namna hii ni hatari sana. waathirika wakubwa mnakuwa ni wanawake. Ona sasa dada wa watu kakubali kuingia kwenye huo ulimwengu akidhani anaokoa na kulinda penzi kumbe anaangamizwa.

Kupenda gani huku mpaka unafikia kutoa tako lame excuse ona sasa kilichompata damn
 
Mapenzi mkuu...

Akili ikiongozwa na moyo na sometimes huleta maamuzi ya ajabu sana. Kama vile sisi tunapofikiri kwa kutumia kichwa cha chini ambacho hakina ubongo matokeo yake huwa tunaleta madhara kwenye jamii.
ni tofauti nikuulize hivi wewe kama mwanamke unampenda kweli kweli kakuambia umfanyie huo mchezo utakubali???
 
ni tofauti nikuulize hivi wewe kama mwanamke unampenda kweli kweli kakuambia umfanyie huo mchezo utakubali???

Kwanza nitamuona hafai kuwa mke.

Hivyo hastahiki kuwa mama wa watoto wangu. Tofauti na kwa wanawake wao huwa wanyonge hata kwenye maamuzi yanayohusu maisha yao binafsi.
 
Kwanza nitamuona hafai kuwa mke.

Hivyo hastahiki kuwa mama wa watoto wangu. Tofauti na kwa wanawake wao huwa wanyonge hata kwenye maamuzi yanayohusu maisha yao binafsi.
sio unyonge mkuu huu ni ujinga hata kama ni kufanyiwa maamuzi sio kitendo cah kijinga kiasi hicho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom