Unajifanya haujui? Au unatuektiaHivi huyo ni mimba au ni lile tatizo la kuvimba tumbo?
unauhakika gani kuwa hiyo ni mimba?Picha inajieleza"Hii vita haitamuacha mtu salama".
Unajifanya haujui? Au unatuektia
unauhakika gani kuwa hiyo ni mimba?
ukiona binadamu yeyote yule kavimba tumbo, fikiria vitu vitano vinavyoanza na F...............
1. Fetus.
2. Feaces.
3. Fat.
4. Fluid.
5. Flatus.
Na kila kimoja kina kipimo chake, CLINICALLY.
Acha mara moja tabia za kutaka kujichukulia sheria mikononi.Yaani naapa HAKI YA MUNGU siku nimfume MTU MZIMA ambaye umri wake hauendani na
binti yangu tena binti wa shule sitasubiri mahakama NITAUA TU!
Na kenyewe si kana penda utamu.Mtoto mdogo huyu sijui atanyonyesha nn wanaume muwe na huruma
wonderful umetisha shauri yako kibiti haijawahi kumuacha mtu salamaUnadhani mm napaogopa huko?
Ebu niwekee picha ya huyo Binti yako kwanza...alafu uone kama Mie ntaogopa kuja Kibiti.
Mh,labda maana nasikia ata mkuu wa majeshi alirudia Mkuranga!wonderful umetisha shauri yako kibiti haijawahi kumuacha mtu salama
Haya jiendee ww unayejiaminiMh,labda maana nasikia ata mkuu wa majeshi alirudia Mkuranga!
Hawa watanzania magu hawataki kabisa kwenye utawala wakePicha inajieleza"Hii vita haitamuacha mtu salama".
Ukiua ntu, janhuri anakushtaki!!!.....ulinzi wako unakuwa haupo watu watanfaidije!!! (joke)MIAKA 14
Inauma aiseeYaani naapa HAKI YA MUNGU siku nimfume MTU MZIMA ambaye umri wake hauendani na
binti yangu tena binti wa shule sitasubiri mahakama NITAUA TU!
no unaeza ukakuta alibakuliwa...wanaume wengine hawana adabu.Na kenyewe si kana penda utamu.