aikamatemu
JF-Expert Member
- Jan 29, 2020
- 464
- 1,892
Mzee amewahi kunitamkia waziwazi alitokea kwenye familia ya kimaskini akapambana nao mpaka kufikia alipo lakini kamwe nisijeoa mwanamke anayetokea familia ya kimaskini nashukuru sana mengi nayashuhudia