Wanaume tuwe makini na utoaji ruhusa

Kuna wakati watu akili huziweka mfukoni. We uzime simu siku tatu na kwenu hujafika. Kama ni kweli huyo mama akapimwe akili kwanza. Yaani yeye hakujua mumewe atahitaji kufahamu kwamba amefika salama au la na hali ya huko kwao??,!!!!!!
 

I heart you my dear , for this message, I loved it. Thanks !
 
Huyo mama mjinga siyo mtaalamu wa kuchepuka si angefika kwao kwanza then akaendelea na mambo yake a
Lkn mungu amemuumbua akaolewe na huyo kama naye hajamuacha

Mwanangu hamu ilikuwa imemzidia! Chezea utamu Wa Msukuma Wewe!! Vijana Wa siku hizi mnashindia mno chips hamna nguvu ya kukabili mambo! Wacha mpigiwe! Mwanamke siyo nguo, magari au chakula! Nani alikwambia alifuata hivyo tu hapo kwako? Wacha mpigiwe!!
 
Wadada wa karne hii ya sayansi na teke linalokujia na digitali ni janga la ndoa.. Si ajabu huyo mmama analiwa hadi 0714
 

Mda mwingine tamaa hata ukamkojoza vo mdada mithili ya kuzimia bado atachepuka tu
 
Mda mwingine tamaa hata ukamkojoza vo mdada mithili ya kuzimia bado atachepuka tu
Sasa tamaa ya nini wakati mkuyati anao nyumbani?

Mkuu hili ni janga kwa wafanyabiashara wakubwa wanakuwa busy mpaka kupita maelezo kiasi kwamba hawatoi huduma tarajiwa kwa ufasaha!! Niliwahi kuumwa sikio na mmama mmoja naye alikuwa kwenye makasheshe hayo ya kukosa huduma kwa muda mrefu, anasema hata wachunga............nao wanakuwa busy mpaka wanasahau majukumu yaliyomleta mama home, sasa inakuwa rahisi kwao kupigiwa!! Maana anakuwa na mikutano mfululizo akifika home amechokaaaaaaa basi ni kujitupa tu bila kutoa huduma!!

Kwa asilimia kubwa sisi wanaume ndo chanzo cha akina mama kuchepuka wala siyo kwamba wanachepuka kwa tamaa zao. Unakuta mwanaume hutoi huduma lakini huko nje wewe unachepuka ukifika home unagalagala tu, kwa nini mama asitoke nje kwenda kutafuta mti wa hamu? Sasa chukulia huyu mama alikuwa amekosa nini zaidi pale home mpaka aamue kuufuatilia Mwanza? Hapo ni moja kwa moja kwamba pale ndani hatimiziwi haja zake eti kwa vile tu mzee kampa gari la kutembelea, anammwagia fedha kibao, anampa chakula kizuriiii!! Mkuu siyo hayo tu kuna cha ziada kinachomfanya akae kwako!! WANAUME TUWAJIBIKE!!
 

kuchepuka fan ya mtu mwanaume akinitimizia mahitaji muhim kamwe siwezi msalit
 
Haiingii akilini siku 3 hujawasiliana na mumeo na wakati upo safarini? unachepuka na cm unazima siku 3, labda huyo mume alikuwa si rijali, nyege zilimzidi mkewe mpaka zikamletea mtindio wa ubongo.
 

Mchepuko noma bak njia kuu
 
mwanamke anapofikia kuzima simu siku tatu hatoi taarifa popote sio kwao wala kwa mume, anakuwa hapendi ndoa na haina hata haja ya kumfutilia maana utavuna stress.
 
Kwani wakichepuka wanaume sio shida kwa wanawake wakijua, mi sioni ugumu wowote hapo. Ameshamegewa basi simple
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…