Wanaume tuwe makini na utoaji ruhusa

Wanaume tuwe makini na utoaji ruhusa

Jenerali Ambamba

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2014
Posts
3,344
Reaction score
2,537
Hii imetokea juzi hapa mwanza, kuna mama mmoja mzuri sana wa sura (Mama G) kaolewa na tajiri mmoja Dar. kapewa gari la kutembelea (Cruiser) na kila kitu kwa kweli.

Sasa kumbe toka wiki iliyopita alikuwa anaomba ruhusa aje awasalimie wazazi wake hapa mwanza, mwanaume akawa anasita kumruhusu baadae anyway akaenda Airport kumkatia Ticket ya ndege to mwanza, sasa cha ajabu Mume wake alishapata taarifa toka awali kuwa mke wake anamegwa na jamaa mmoja wa Mwanza lakini alikuwa hajamfahamu.

Mume kafika nyumbani akampa Tiket ya ndege, kesho yake mke kawasili mwanza kwa ndege ya Asubuhi, moja kwa moja kwa jamaa yake cm kazima zote alikuwa hapatikani, Mume akampigia mama mkwe wake (Mama wa mke wake) Mama akaulizwa "G alifika salama"? Mama akauliza wapi? hapo Nyumbani!! Mama akasema sijamuona...hiyo ni siku tatu baada ya kuwasili mwanza, Kwao hajafika.

Jamaa akapanda Ndege kuja mwanza, akadokezwa na mtu kuwa shemeji nilimuona jana maeneo ya Mwanza Hotel lakini hatukusalimiana, nilikuwa busy, Mume akaenda moja kwa moja hadi kwao mke, mama yake akasema bado hajafika na cm zake hazipatikani!! muda mfupi baada ya mume kuwasili kwao, mke naye huyo jamaa kamleta kwa gari aina ya Prado mpaka kwao, ile wanaingia ndani tu, Mwanamke akaanguka ghafla, Jamaa kumbe anamjua Mume wake, alitoka anakimbia na Gari kaacha hapa bila ufunguo, ndo anapelekwa hosp. muda huu.


Note: Wanaume tuna shida sana lakini ndo hivyo tena sasa tutafanyaje?
 
hamna papuchi ya kwako peke yako. ukishakuwa na mentality hiyo huwezi pata shida

Tatizo c kumegewa mke, tatizo nikuwa wanawake wengi huwa hawawakumbushi hao wanaume kutumia kinga...sasa mtu unaletewa magonjwa ndani na watoto ambao c wako, yawezekana ukoo wa huyo jamaa ni au wal
 
Hii imetokea juzi hapa mwanza, kuna mama mmoja mzuri sana wa sura (Mama G) kaolewa na tajiri mmoja Dar. kapewa gari la kutembelea (Cruiser) na kila kitu kwa kweli.

Sasa kumbe toka wiki iliyopita alikuwa anaomba ruhusa aje awasalimie wazazi wake hapa mwanza, mwanaume akawa anasita kumruhusu baadae anyway akaenda Airport kumkatia Ticket ya ndege to mwanza, sasa cha ajabu Mume wake alishapata taarifa toka awali kuwa mke wake anamegwa na jamaa mmoja wa Mwanza lakini alikuwa hajamfahamu.

Mume kafika nyumbani akampa Tiket ya ndege, kesho yake mke kawasili mwanza kwa ndege ya Asubuhi, moja kwa moja kwa jamaa yake cm kazima zote alikuwa hapatikani, Mume akampigia mama mkwe wake (Mama wa mke wake) Mama akaulizwa "G alifika salama"? Mama akauliza wapi? hapo Nyumbani!! Mama akasema sijamuona...hiyo ni siku tatu baada ya kuwasili mwanza, Kwao hajafika.

Jamaa akapanda Ndege kuja mwanza, akadokezwa na mtu kuwa shemeji nilimuona jana maeneo ya Mwanza Hotel lakini hatukusalimiana, nilikuwa busy, Mume akaenda moja kwa moja hadi kwao mke, mama yake akasema bado hajafika na cm zake hazipatikani!! muda mfupi baada ya mume kuwasili kwao, mke naye huyo jamaa kamleta kwa gari aina ya Prado mpaka kwao, ile wanaingia ndani tu, Mwanamke akaanguka ghafla, Jamaa kumbe anamjua Mume wake, alitoka anakimbia na Gari kaacha hapa bila ufunguo, ndo anapelekwa hosp. muda huu.


Note: Wanaume tuna shida sana lakini ndo hivyo tena sasa tutafanyaje?


Wewe Ni Muongo!

 
wanawake!!!!!!sijui mna nini? hivi mna nini?

Dear ,Ama Kweli Nyani haoni Ku...... Hebu jiulizeni na nyie wanaume the Same question and then mkipata jibu we will give you guys our answers. Huyo mwanamke uselfish wake ndio ulikuwa unamsumbua na kutomjua mungu nothing else . Pole Zake huyo Baba ambaye alikuwa innocent kwa hilo. Thanks!
 
Hii imetokea juzi hapa mwanza, kuna mama mmoja mzuri sana wa sura (Mama G) kaolewa na tajiri mmoja Dar. kapewa gari la kutembelea (Cruiser) na kila kitu kwa kweli.

Sasa kumbe toka wiki iliyopita alikuwa anaomba ruhusa aje awasalimie wazazi wake hapa mwanza, mwanaume akawa anasita kumruhusu baadae anyway akaenda Airport kumkatia Ticket ya ndege to mwanza, sasa cha ajabu Mume wake alishapata taarifa toka awali kuwa mke wake anamegwa na jamaa mmoja wa Mwanza lakini alikuwa hajamfahamu.

Mume kafika nyumbani akampa Tiket ya ndege, kesho yake mke kawasili mwanza kwa ndege ya Asubuhi, moja kwa moja kwa jamaa yake cm kazima zote alikuwa hapatikani, Mume akampigia mama mkwe wake (Mama wa mke wake) Mama akaulizwa "G alifika salama"? Mama akauliza wapi? hapo Nyumbani!! Mama akasema sijamuona...hiyo ni siku tatu baada ya kuwasili mwanza, Kwao hajafika.

Jamaa akapanda Ndege kuja mwanza, akadokezwa na mtu kuwa shemeji nilimuona jana maeneo ya Mwanza Hotel lakini hatukusalimiana, nilikuwa busy, Mume akaenda moja kwa moja hadi kwao mke, mama yake akasema bado hajafika na cm zake hazipatikani!! muda mfupi baada ya mume kuwasili kwao, mke naye huyo jamaa kamleta kwa gari aina ya Prado mpaka kwao, ile wanaingia ndani tu, Mwanamke akaanguka ghafla, Jamaa kumbe anamjua Mume wake, alitoka anakimbia na Gari kaacha hapa bila ufunguo, ndo anapelekwa hosp. muda huu.


Note: Wanaume tuna shida sana lakini ndo hivyo tena sasa tutafanyaje?

Ni kweli tunajitahidi sana kuwahudumia hawa viumbe tena kwa gharama kubwa ili wajisikie vizuri lakini tunavuna STRESS.
 
Muundo wa hii stori ti unainyima credibility kabisa ya kuaminika...Hata kama mwamamke angekuwa fyatu kiasi gani si rahisi azime simu siku tatu na sehemu yenyewe ni Mwanza na hata mama yake awe hana taarifa juu ya uwepo wa mtoto wake.Its obvious mume angempigia mama mkwe simu mara baada ya kumkosa mkewe na si baada ya siku 3 kupita.Hadithi za kitoto kama hizi ziundiwe jukwaa la watoto Mod natoa hoja
 
Ni kweli tunajitahidi sana kuwahudumia hawa viumbe tena kwa gharama kubwa ili wajisikie vizuri lakini tunavuna STRESS.

ni kweli mkuu! huyu mwanaume kumbe anakaa Tabata huko Dar. na ana miradi sana, nimeambiwa kuwa moja ya miradi yake dar. ni hizi De change!
 
Back
Top Bottom