Jenerali Ambamba
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 3,344
- 2,537
Hii imetokea juzi hapa mwanza, kuna mama mmoja mzuri sana wa sura (Mama G) kaolewa na tajiri mmoja Dar. kapewa gari la kutembelea (Cruiser) na kila kitu kwa kweli.
Sasa kumbe toka wiki iliyopita alikuwa anaomba ruhusa aje awasalimie wazazi wake hapa mwanza, mwanaume akawa anasita kumruhusu baadae anyway akaenda Airport kumkatia Ticket ya ndege to mwanza, sasa cha ajabu Mume wake alishapata taarifa toka awali kuwa mke wake anamegwa na jamaa mmoja wa Mwanza lakini alikuwa hajamfahamu.
Mume kafika nyumbani akampa Tiket ya ndege, kesho yake mke kawasili mwanza kwa ndege ya Asubuhi, moja kwa moja kwa jamaa yake cm kazima zote alikuwa hapatikani, Mume akampigia mama mkwe wake (Mama wa mke wake) Mama akaulizwa "G alifika salama"? Mama akauliza wapi? hapo Nyumbani!! Mama akasema sijamuona...hiyo ni siku tatu baada ya kuwasili mwanza, Kwao hajafika.
Jamaa akapanda Ndege kuja mwanza, akadokezwa na mtu kuwa shemeji nilimuona jana maeneo ya Mwanza Hotel lakini hatukusalimiana, nilikuwa busy, Mume akaenda moja kwa moja hadi kwao mke, mama yake akasema bado hajafika na cm zake hazipatikani!! muda mfupi baada ya mume kuwasili kwao, mke naye huyo jamaa kamleta kwa gari aina ya Prado mpaka kwao, ile wanaingia ndani tu, Mwanamke akaanguka ghafla, Jamaa kumbe anamjua Mume wake, alitoka anakimbia na Gari kaacha hapa bila ufunguo, ndo anapelekwa hosp. muda huu.
Note: Wanaume tuna shida sana lakini ndo hivyo tena sasa tutafanyaje?
Sasa kumbe toka wiki iliyopita alikuwa anaomba ruhusa aje awasalimie wazazi wake hapa mwanza, mwanaume akawa anasita kumruhusu baadae anyway akaenda Airport kumkatia Ticket ya ndege to mwanza, sasa cha ajabu Mume wake alishapata taarifa toka awali kuwa mke wake anamegwa na jamaa mmoja wa Mwanza lakini alikuwa hajamfahamu.
Mume kafika nyumbani akampa Tiket ya ndege, kesho yake mke kawasili mwanza kwa ndege ya Asubuhi, moja kwa moja kwa jamaa yake cm kazima zote alikuwa hapatikani, Mume akampigia mama mkwe wake (Mama wa mke wake) Mama akaulizwa "G alifika salama"? Mama akauliza wapi? hapo Nyumbani!! Mama akasema sijamuona...hiyo ni siku tatu baada ya kuwasili mwanza, Kwao hajafika.
Jamaa akapanda Ndege kuja mwanza, akadokezwa na mtu kuwa shemeji nilimuona jana maeneo ya Mwanza Hotel lakini hatukusalimiana, nilikuwa busy, Mume akaenda moja kwa moja hadi kwao mke, mama yake akasema bado hajafika na cm zake hazipatikani!! muda mfupi baada ya mume kuwasili kwao, mke naye huyo jamaa kamleta kwa gari aina ya Prado mpaka kwao, ile wanaingia ndani tu, Mwanamke akaanguka ghafla, Jamaa kumbe anamjua Mume wake, alitoka anakimbia na Gari kaacha hapa bila ufunguo, ndo anapelekwa hosp. muda huu.
Note: Wanaume tuna shida sana lakini ndo hivyo tena sasa tutafanyaje?