Rama Amiry
Member
- Aug 29, 2016
- 39
- 63
Habarii wadaw...
Inawahusu wanaume..
Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena kuomba msamaha,,, ndugu yangu msamehe, mpe ahadi ya ndoa, mwambie utamuoa, iambie familia yake unataka kufanya ukarabati wa nyumba yao, Ondoa paa lote la nyumba yao halafu TOWEKA.
Inawahusu wanaume..
Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena kuomba msamaha,,, ndugu yangu msamehe, mpe ahadi ya ndoa, mwambie utamuoa, iambie familia yake unataka kufanya ukarabati wa nyumba yao, Ondoa paa lote la nyumba yao halafu TOWEKA.