Wanaume tunatia aibu

Wanaume tunatia aibu

Wakati mwingine walimu ni watu muafaka lakini wakati mwingine si watu muafaka. Tatizo kubwa la walimu wengi wao wana "VISION NDOGO".

Visions ndogo kivipi? Hebu tufafanulie na utupe solution tuwe na vision kubwa ili tuwe bora zaidi
 
Mwalimu ni mwanamke pekee ambaye ndio mfano wa kuigwa. Hawana gharama kubwa, wanajitambua japo sio wote,

Acha uwongo,ingekuwa hivyo watu wengine wasinge olewa,maana kila mwanaume angeoa mwalimu
 
Hamna asiyependa kuwa na vitu vizuri, walimu wamejikuta tu hawana jinsi wawe wapole tu.
Mi nilipokuwa mdogo nimeshuhudia walimu wa kike waliiolewa wakitoka shule wana yao ya kuchepuka kama kawaida.

sasa mkuu kwa umri wako ulifankiwaje kung'amua mambo
ya wakubwa zako kuwa wana chepuka..??
hapo napata walakini kuwa na wewe yawezekana ulikuwa
unaunga nao tera toka mdogo..simply guessing .
 
sasa mkuu kwa umri wako ulifankiwaje kung'amua mambo
ya wakubwa zako kuwa wana chepuka..??
hapo napata walakini kuwa na wewe yawezekana ulikuwa
unaunga nao tera toka mdogo..simply guessing .

Kuna vitu havifichiki hata kwa mtoto, ila unaelewa kwa nini walifanya vitu hivyo kadri unavyokua. na wale walimu wote wawili walifariki baada ya kuumwa mda mrefu ( inasadikika ukimwi)
 
Kwani waalimu ndio hawana hivyo vyote acha dharau hizo.
 
acheni kujifariji mke ni mke tu ww unaejidanganya mwl ndo mke oa uone
 
Kuna baadhi ya kaz ukifanya zinakushape tabia kama ya ualim...ila kwa nn waalimu hao wanaonekana ndio wake bora wanaishia kuzaa na sio kuolewa??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom