Wanaume tunatia aibu

Wanaume tunatia aibu

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,431
WANAUME TUNATIA AIBU.

Unaenda kutongoza mwanamke ambae hana kazi lakini ana Galaxy s6 na iphone6 plus. Wigi la laki 3. High hills 150,000/ kucha anatengezeza kwa 50,000/. Gauni 200,000/ amepanga nyumba analipa kodi laki 4.

Ana ka spacio anaendesha. Haonekani asubuhi akienda kazini ye jioni tu utamkuta Bar na hainken.Ulivyokuwa ----- unakuja kutulalamikia "ooh yule msichna hana maana eti ananiomba mil 1. Aongezee anunue Flat mpya"


KAKA KWANI WANAOOA WAALIMU NI WAJINGA?
 
Mwalimu ni mwanamke pekee ambaye ndio mfano wa kuigwa. Hawana gharama kubwa, wanajitambua japo sio wote,
 
Kuna mtu niliwahi kumsikia kitambo akisema kuna faida kubwa ukioa mwalimu au nesi. Sikumwelewa mpaka leo
 
Teh teh nimekusoma mkuu Bujibuji moyo ni kipofu mkuu tukitongoza hua tuna ignore fact Fulani Fulani inaitwa Ku test zali
 
Last edited by a moderator:
Nina uzoefu Wa kutosha kudate nano sawa kumwoa balaa mungu wangu
 
kumbe walimu hawana gharama!!!? ila harufu za chaki utazikoma...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom