Jumbe Brown JF-Expert Member Jun 23, 2020 12,077 12,756 Oct 20, 2021 #42 Tumia yale mafuta.....huo uchawi hautokuingia.....🤣
Jumbe Brown JF-Expert Member Jun 23, 2020 12,077 12,756 Oct 20, 2021 #43 Times9 said: Mimi kuna binti nahisi kaniroga kabisa make sielewi elewi hisia zangu kwake ani. Click to expand... Chaliiii 🤣
Times9 said: Mimi kuna binti nahisi kaniroga kabisa make sielewi elewi hisia zangu kwake ani. Click to expand... Chaliiii 🤣
Ulweso JF-Expert Member May 24, 2016 23,119 27,937 Oct 21, 2021 #44 Eng. Zezudu said: Sabrina, Aisha, mwanaisha, Amina, Anna, Click to expand... Hapo kila mtu na kabila lake na limbwata lake , hapo mwanaume lazima dish liyumbe unamsahau hadi mama yako.
Eng. Zezudu said: Sabrina, Aisha, mwanaisha, Amina, Anna, Click to expand... Hapo kila mtu na kabila lake na limbwata lake , hapo mwanaume lazima dish liyumbe unamsahau hadi mama yako.