Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 2,992
Ukiona familia Ina watoto 5 ujue wawili au mmoja hapo mama kachanganya baba,sio wote ni baadhi ya familia.
Kuna mshikaji wangu tunaishi kitaa kimoja, alikuwa ana date na mke wa mtu mpaka akampa mimba na yule mke wa mtu alimwambia mshikaji hii mimba ya kwako na huyu mtoto atakaye zaliwa ni damu yako na mume wangu nishamwambia Nina mimba amekubari,mke wa mtu alianza kumpenda mshikaji sababu ya muonekano.
huyu mke wa mtu ni zile pisi kali maisha mazuri pisi za town,mume wake Yuko taasisi x anajiweza kiuchumi. Wana watoto 2 now wa kiume na huyu wa kike.
Yule mtoto now ana 4 years ni wa kike kafanana Sana na mama yake,mume wa yule mke anampenda Sana yule mtoto kila muda Yuko nae na kila sehemu anaenda nae.
Mshikaji wangu anaona wivu now anataka kwenda kwa yule pisi ili akadai damu yake na Yuko tayari kwenda kupima DNA Kama kutatokea sitofahamu.
Tumemshauri yule mtoto ampotezee sababu anaweza kuharibu ndoa za watu au akapata matizo mshikaji haelewi.
Wanawake kwenye ndoa humu mna Siri nyingi sana.
Kuna mshikaji wangu tunaishi kitaa kimoja, alikuwa ana date na mke wa mtu mpaka akampa mimba na yule mke wa mtu alimwambia mshikaji hii mimba ya kwako na huyu mtoto atakaye zaliwa ni damu yako na mume wangu nishamwambia Nina mimba amekubari,mke wa mtu alianza kumpenda mshikaji sababu ya muonekano.
huyu mke wa mtu ni zile pisi kali maisha mazuri pisi za town,mume wake Yuko taasisi x anajiweza kiuchumi. Wana watoto 2 now wa kiume na huyu wa kike.
Yule mtoto now ana 4 years ni wa kike kafanana Sana na mama yake,mume wa yule mke anampenda Sana yule mtoto kila muda Yuko nae na kila sehemu anaenda nae.
Mshikaji wangu anaona wivu now anataka kwenda kwa yule pisi ili akadai damu yake na Yuko tayari kwenda kupima DNA Kama kutatokea sitofahamu.
Tumemshauri yule mtoto ampotezee sababu anaweza kuharibu ndoa za watu au akapata matizo mshikaji haelewi.
Wanawake kwenye ndoa humu mna Siri nyingi sana.