MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 18,857
- 38,605
IF you don't know your own worth and value, THEN DO NOT expect someone else to calculate it for you.
kwani unafikiri hatujui haya ni makusudi tu na maisha yanachangia
IF you don't know your own worth and value, THEN DO NOT expect someone else to calculate it for you.
Mimi ninaamini umalaya ni tabia ya mtua awe mwanaume au mwanamke.......kila mmoja wetu lazima ajiwekee taratibu na vigezo vyake vya kumpata mwenza.....na baada ya kuijwekea hizo taratibu huna budi kuzifuata.....kuelekea kumpata huyo unayemtaka maishani huku nawewe ukiwa umejiandaa kumpokea....matatizo huanza pale wewe mwenyewe unapokiuka taratibu zako kwa ajili ya tamaa za material things.....kama vile pesa na umaarufu wa mtu.....huku ukifumba macho kwa makusudi ili usione ubaya wake.......
Hivi vi mada hua Naona kz sn kuchangia Lkn Leo nitasimama imara kutetea wanaume!
Haiwezekani kila mahusiano yapelekee kufunga ndoa tu!
8. Kutaka mwanaume ahudumie ukoo wake wote
9. Kushobokea magari ya wanaume akidhani naye ana hisa nayo.
10. Kutaka uzungu naye aseme baby.