Hala hala unapojitikisa hayo maeneo chunga usijambeNi wivu tuu,...
Japo mm siwezi mruhusu mume wangu adeki hata kama ananipenda to the moon and back,.
Raha ya kudeki uiname,ujitikise tikise hasa maeneo flan huku mume anakuona,.sasa mume apige deki anataka kutikisa nini jomonii??lol
Naa'am,Una mume kumbe?
Kumjambia mume kuna raha yake,,hapo ndio anapata uhakika kuwa mkewe unakula na kushiba...😎Hala hala unapojitikisa hayo maeneo chunga usijambe
Sio mpenzi sana wa jukwaa hili ila kuna tabia nimeiona imenishangaza baada ya kwenda likizo home kama unavyojua janga la corona.
Kuna wapangaji pale home huyu sasa ni mwalimu ameoa unamkuta anafua nguo za ndani za mkewe, nguo za mkewe watoto, anaosha vyombo na kupiga deki ndani duh! Ukweli kanishangaza na ukimcheki mke wake anaonekana mpole.
be blessed 🙌Mzee nadhani kuna vitu hasa kwenye mahusiano huwa havina formula especially nani afanye nini na wakati gani. Personally, naweza kabisa kufua nguo za ndani za mwanamke wangu kwasababu 2 kubwa.
1. Nina jukumu la kumfanya awe msafi kwasababu katika usafi ndiko mvuto unakozidi.
2. Kujali, kama yeye anaweza kukufanyia hivyo kwanini wewe usimfanyie hivyo?
Haikupunguzii uanaume wako bali inaimarisha mahusiano yako
Sent using Jamii Forums for Iphone App
khaaa Sana kwani ajabu ni ipi hapo hapo akifua anamomonyoka au 🤷Nataka nijue wadada haya mambo wakifanya kaka zenu mtasapoti ala?
Ujajibu swali madamkhaaa Sana kwani ajabu ni ipi hapo hapo akifua anamomonyoka au 🤷
sir nitasapoti na sioni cha ajabu hapo 🤔Ujajibu swali madam








Bora mwanaume anaemsaidia mkewe kufua na kupika kuliko mwanaume mmbea.
🙏🙏🙏, okay!.sir nitasapoti na sioni cha ajabu hapo 🤔
Safi !!..😘😘😘..Ni wivu tuu,...
Japo mm siwezi mruhusu mume wangu adeki hata kama ananipenda to the moon and back,.
Raha ya kudeki uiname,ujitikise tikise hasa maeneo flan huku mume anakuona,.sasa mume apige deki anataka kutikisa nini jomonii??lol
Mwanaume kufanya kazi kama hizo ni sawa na haujaoa!Wanaume wanaopenda umwinyi utaona tu kaulizao
Kunawanaume wamekuzwa wanafanya kazi zote toka utt hata kama wameoa hawataona aibu kuzifanya kwakua kazoea
Kufua chupi kitu gani ilhali kinachovalia hio chupi ndo chakula chako cha uzima
Tuache majungu kilan mtu afanye anachoona sahihi kwake