Tansy
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 3,946
- 8,952
Sure thing !!Yes wanafanya pia, lakin wao huwez mkuta mke kamtengeneza mme wake.
Huku uswailin kukiwepo na tukio la hivyo, ni mtu katengenezwa tayari mda mrefu. Na waliotengenezwa hua hawashauriki kwa lolote kwa majukumu wanayofanya

