Wanaume tumeumbwa mateso....

Wanaume tumeumbwa mateso....

Boflo

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2010
Posts
4,383
Reaction score
4,412
Shoga 1 alienda club ikapigwa nyimbo ya msondo ngoma....

ya "Wanaume tumeumbwa mateso....mateso!"

Shoga kusikia akaguna mmh niliyajua zamani hayo

ndo maana nikajitoa huko....
 
Last edited by a moderator:
Shoga 1 alienda club ikapigwa nyimbo ya msondo ngoma....

ya "Wanaume tumeumbwa mateso....mateso!"

Shoga kusikia akaguna mmh niliyajua zamani hayo

ndo maana nikajitoa huko....

Umenikumbusha mbali aisee, hiyo ilitokea nkiwa viwanja bagamoyo baada ya kupigwa huo wimbo, shoga akashaut "bora mimi nshakuwa mwanamke"
 
Back
Top Bottom